• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC KIMANTA- WANAFUNZI WA MASOMO YA SAYANSI KUNUFAIKA

Posted on: December 4th, 2020

Wasomi wametakiwa kutumia elimu yao kutatua changamoto zilizopo katika jamii zao, ili waweze kujipatia vipato na pia kusaidia jamii hizo.

Yamesemwa hayo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Iddi Hassan Kimanta alipokuwa akizindua rasmi upango wa kuwaendeleza kwa ujuzi wanafunzi wa masomo ya Sayansi kutoka katika shule mbalimbali za Mkoa wa Arusha ujulikanao kama (Future stem for Business Leaders).

“Nimefurahishwa sana na mpango huu ambao unawapa nafasi wanafunzi wa shule za sekondari kujifunza zaidi ya darasani.

Mpango huu umeanzishwa na wataalamu mbalimbali kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam na Chuo cha Nelson Mandela chini ya kampuni ya Gongali Model.

Amewataka vijana hao kuchangamkia fursa hiyo ya kutumia elimu kwa kujiajiri na kuajiri wengine ili kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja na nchi.

Amesema mpango huo utawasaidia vijana kuacha kutegemea kuajiriwa tu bali wataweza kujijenga katika kujiajiri.

Dkt. Innocent Lugendo Muhadhiri kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam pia ni mmoja wa waanzilisha wa mpango huo, amesema lengo kubwa la mradi huo ni kuwawezesha wanafunzi hasa wa masomo ya sayansi kutumia elimu yao kutatua changamoto katika jamii zao kwa kuzalisha ajira na biashara.

Amesema mradi huo utawasaidia vijana kuweza kujisimamia katika uchumi na kuendesha maisha yao ya kila siku.

Mradi wa Future stem business for Leaders ulianza 2017 Dar es Salaam na sasa umezinduliwa rasmi Jijini Arusha na utakuwa ukifanyika katika sule 15 za sekondari za Jijini Arusha.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa