• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC KIMANTA- WATENDAJI WA VIJIJI NA KATA WATAKIWA KUWAFAHAMU WANANCHI WAO.

Posted on: December 16th, 2020

Watendaji wa serikali katika ngazi za vijiji na kata wametakiwa kuwa na madaftari yenye orodha ya majina ya wananchi wao,hii itawasaidia kuwafahamu na kujua changamoto zao.

Maelekezo hayo yametolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Iddi Hassan Kimanta alipokuwa akihutubia katika kilele cha maadhimisho ya kupinga unyanyasaji wa kijinsia katika Jeshi la Polisi Mkoani Arusha.

“Kila kiongozi anatakiwa kuwafahamu wananchi wake na changamoto zao huku akizitatua kadri ya uwezo wake,hii itasaidia kupunguza ukatili wa kijinsia katika maeneo yao”.

Amesema itakapotokea kesi ya ukatili wa kijinsia katika eneo la kiongozi yoyote na yeye yupo na hajachukua hatua zozote basi atatakiwa kujielezea.

Hivyo, amewataka viongozi hao wakatekeleze majukumu yao ikiwemo kutatua changamoto za wananchi wao hasa zinazohusu usalama wao.

Pia,Kimanta amewataka viongozi wa mila kuacha kusimamia mila na desturi zinazochochea unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto bali wafuate taratibu na sheria zilizopo.

Akisoma taarifa ya dawati la jinsia kutoka jeshi la Polisi Nadhimu wa Jeshi Inspeta Mary Kipesha,amesema dawati la jinsia limefanya kazi kubwa katika kuhakikisha ukatili wa kijinsia unapungua kwa kiasi kikubwa.

Amesema kwa mwaka 2019 jumla ya matukio yaliyolipotiwa katika dawati la jinsia yalikuwa 4,305 na kwa mwaka 2020 matukio yamepungua kufikia 4,191 ambayo hii ni pungufu ya matukio 114.

ACP Mary amesema, matukio ya ukatili wa kijinsi yalipungua kwa kiasi kikubwa ni pamoja na utelekezaji wa familia kwa matukio 32, kujaribu kubaka matukio 40 na utoaji mimba matukio 39.

Mafanikio hayo yametokana na ushirikiano uliopo baina ya Jeshi la polisi na taasis nyingine za serikali na binafsi.

Amesema mbali na mafanikio hayo ya kupunguza ukali wa kijinsia pia Jeshi la Polisi limeweza kuanzisha clabu mbalimbali katika shule za msingi na sekondari za kupinga ukatili wa kijinsia, pia kuanzishwa kwa kituo cha pamoja (One stop Centre) ambacho kimarahisisha utoaji huduma kwa ushirikiano zaidi.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa