• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA AAGIZA DARAJA LA TANGANYETI KUKAMILIKA IFIKAPO DESEMBA, 2025.

Posted on: September 4th, 2025


- _Barabara ya Arusha - Longido - Namanga; ujenzi umegharamu Bilioni 4.6_

Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Gabriel Makalla @amosmakalla Alhamisi ya leo Septemba 05,2025, ameagiza kukamilka kwa mradi wa daraja la Tanganyeti lenye urefu wa Mita 40 kwenye barabara ya Arusha - Longido - Namanga kuelekea nchi jirani ya Kenya, mradi unatekelezwa na Serikali kwa gharama ya shilingi Bilioni 4.6 kupitia Wakala wa Barabara Tanzania - TANROADS na Mkandarasi wa Kampuni ya Jiangx Geo Engineering.

CPA Makalla ametoa agizo hilo, wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua shughuli za utekelezaji wa miradi ya maendeleo wilaya ya Longido na kuwahimiza Mkandarasi wa mradi huo kuongeza kasi na kuhakikisha ujenzi huo muhimu kwa wananchi, unakamilika mwezi Desemba,2025 ili  uanze kutoa huduma kwa wananchi.

"Ninamshukuru Mhe.Rais Dkt. @samia_suluhu_hassan kwa kuona umuhimu wa ujenzi wa daraja kwenye barabara hii ambao ni muhimu kwa uchumi wa nchi hizi mbili za Tanzani na Kenya, hivyo kwa kuzingatia umuhimu wake, ujenzi uendane na kasi ya uhitaji wa huduma kwa wananchi pamoja na wageni wanaotumia barabara hii"Amesema

Hata hivyo wazee wa wilaya ya Longido wameishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za kujenga daraja hilo kwenye eneo ambalo msimu wa mvua hujaa maji na kusababisha kero kubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo.

Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Mkoa wa Arusha Mzee Michael  Lekule Laizer, amebainisha, licha ya Mhe.Rais kutoa shilingi Bilioni 4.6 za kujenga daraja hilo, lakini ametoa fedha nyingi zilizotekelza miradi mikubwa ya afya,elimi laji na mindombinu ya barabara.

Awali aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Longido, ambaye ni Naibu Waziri wa Madini, Dkt Steven Kiruswa amemshukuru Rais Dkt. Samia kwa miradi mingi ya maendeleo iliyotekelezwa Wilayani humo katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake na kumuhakikishia kuwa, wananchi wa Longido wanaimani kubwa naye.

@longido.district_council @ortamisemi @tanroadshq @monduli_dc

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AUNDA TUME KUFUATILIA SAKATA LA MACHINJIO NGORBOB ARUMERU..

    September 09, 2025
  • WAMAREKANI WATALII KWA WINGI TANZANIA- KAIMU BALOZI MAREKANI TANZANIA..

    September 11, 2025
  • RAIS SAMIA KUZIUNGANISHA MONDULI NA NGORONGORO KWA BARABARA YA LAMI..

    September 10, 2025
  • KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025..

    September 10, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa