• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA AWAAGIZA WENYEVITI NA WATENDAJI WA VIJIJI KUSOMA TAARIFA ZA MAPATO NA MATUMIZI KWA MUJIBU WA SHERIA ..

Posted on: September 4th, 2025

 _Kuwasomea Wananchi Taarifa ya Mapato na Matumizi sio Hisani; ni Wajibu_


Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe.CPA Amos Gabriel Makalla Amos Makalla makalla amewagiza Watendaji na  Wenyeviti wa Vijiji na vitongoji, kufanya mikutano ya kisheria kila baada ya miezi mitatu ili kusoma Taarifa ya Mapato na Matumizi kwa kuwa,  kuwasomea wananchi Taarifa ya Mapato na matumizi ya kijiji  sio hisani bali ni wajibu wa viongozi hao.


CPA Makalla ametoa rai hiyo wakati akizungumza na viongozi wa wananchi, Chama, mila pamoja na watalamu wa halmashauri ya wilaya ya Longido, Mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano halmashauri ya Longido  Septemba 04, 2025.


Amewasisitiza viongozi hao, kuwa wanayodhamana kubwa waliyopewa na Serikali ya kuwatumikia na kuwahudumia wananchi na kutokusoma taarifa ya mapato na matumizi ya vijiji inawafanya wananchi kutokufahamu taarifa sahihi za maendeleo ya kijiji chao, jambo ambalo linaleta migogoro mingi na kuwafanya kuichukia Serikali yao.


Aidha, amewataka viongozi hao kuwahakikshia wananchi suala la amani na utulivu kayika maeneo yao kwa kuwasaidia kutatua migogoro miongoni mwao bila kufikshana mahakamani, kwa kuwa wananchi wengi wanakosa haki zao kwa kushindwa kumudu gharama kubwa za kuendesha kesi.


"Niwasihi viongozi wa ngazi zote, tumieni dhamana mliyopewa na Serikali, kuwahudumia wananchi, tatueni kero na migogoro kwa njia ya amani, kwa kufanya hivyo wananchi watajielekeza kwenye shughuli za maendleeo badala ya kupoteza muda kwenye kutafuta haki"


Hata hivyo, amewataka wananchi wote wa Longido kuhakikisha wanatumia haki yao ya kikatiba ya kupiga kura kwa kushiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba, 29 na kuwasisitiza kwenye mikutano ya Kampeni ili kusikiliza sera za vyama vya Siasa, sera ambazo zitawasukuma kufanya maamuzi sahihi wakati wa kupiga kura kwa kuchagua viongozi wenye mapenzi mema na nchi yao.


#kaziinaendelea

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AUNDA TUME KUFUATILIA SAKATA LA MACHINJIO NGORBOB ARUMERU..

    September 09, 2025
  • WAMAREKANI WATALII KWA WINGI TANZANIA- KAIMU BALOZI MAREKANI TANZANIA..

    September 11, 2025
  • RAIS SAMIA KUZIUNGANISHA MONDULI NA NGORONGORO KWA BARABARA YA LAMI..

    September 10, 2025
  • KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025..

    September 10, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa