• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA: RAIS SAMIA KUTOA TAARIFA YA TUME ZA NGORONGORO BAADA YA UCHAGUZI MKUU..

Posted on: September 2nd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla leo Jumanne Septemba 02, 2025 akiwa ziarani Wilayani Ngorongoro, amewataka wananchi wa Wilaya hiyo kuwa watulivu na kuendelea kudumisha amani na Mshikamano miongoni mwao, wakati wakisubiri majibu ya Tume mbili zilizoundwa na na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Sale Kata ya Sale kwenye Mkutano wa hadhara, Mhe. Makalla amebainisha kuwa kwa Busara, hekima na mapenzi ya Rais Samia kwa wananchi wa Ngorongoro, tayari Tume hizo zimekabidhi ripoti kwa Rais Samia na punde baada ya uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, hatma na maamuzi ya serikali yatatangazwa hadharani.


"Niwaombe, tumesubiri muda wa kutosha, tumeipa tume muda wa kutosha, hatuwezi kushindwa kusubiri muda mdogo uliobaki tukapata majibu. Niwaombe Wazee na Viongozi wa mila wa Ngorongoro, tumahitaji hekima zenu, uongozi wenu utukubalie tumpe nafasi Mhe. Rais amalize uchaguzi na hili la kutangaza matokeo ya taarifa za Tume itakuwa moja ya kipaumbele cha mapema baada ya uchaguzi." Amesema Mhe. Makalla.


Akisisitiza kuwa kuundwa kwa tume hizo mbili kulitokana na hekima na busara ya Rais Samia kutaka kupata mawazo na ushauri kwa mawanda mapana zaidi, Mhe. Makalla pia amewataka wananchi kujiepusha na wanasiasa na baadhi ya wananchi wanaowashinikiza kutosubiri matokeo ya Tume hizo, akisema Rais Samia ana dhamira njema na mapenzi makubwa kwa wakazi wa Wilaya ya Ngorongoro.


Rais Samia wakati alipokutana na Viongozi wa Jamii ya Kimasai Mkoani Arusha alitangaza kuunda timu mbili, Moja ikihusika na tathmini kuhusu masuala ya ardhi yanayolalamikiwa na wakazi wa eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na ya pili ilipewa kazi ya kuangalia utekelezaji wa uhamaji wa hiari kutoka eneo la hifadhi kwenda Msomera, Wilayani Handeni Mkoani Tanga.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AUNDA TUME KUFUATILIA SAKATA LA MACHINJIO NGORBOB ARUMERU..

    September 09, 2025
  • WAMAREKANI WATALII KWA WINGI TANZANIA- KAIMU BALOZI MAREKANI TANZANIA..

    September 11, 2025
  • RAIS SAMIA KUZIUNGANISHA MONDULI NA NGORONGORO KWA BARABARA YA LAMI..

    September 10, 2025
  • KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025..

    September 10, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa