• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AHIMIZA MAHUSIANO MAZURI KWA TAASISI ZA DINI ZILIZOTOA MCHANGO MKUBWA KATIKA SEKTA YA AFYA...

Posted on: May 24th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul C. Makonda ametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa Hospitali mpya ya wilaya ya Karatu, iliyoko kijiji cha Changarawe Kata ya Daa Tarafa ya Karatu huku tayari imeanza kutoa huduma tangu Januari 23, 2024.


Akizungumza na Mganga Mkuu wa Wilaya hiyo, Dkt. Victor Kamazima pamoja na viongozi wengine hospitalini hapo, RC Makonda amehimiza kuendelea kuimarisha mahusiano mazuri na Taasisi mbalimbali za kidini zilizotoa mchango mkubwa katika sekta zoye hasa sekta ya Afya.


" Zipo Taasisi za dini zilizotoa mchango mkubwa kwenye sekta mbalimbali hususani kwenye sekta ya Afya, kujenga kwetu hospitali tusiwe na kiburi cha kuwadharau, tengenezeni mahusiano mazuri ili hata mkiwa na changamoto mkaweza kusaidiwa au nyie kuwasaidia ikiwa ni lengo la Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuwasaidia watanzania katika kila sekta hasa Afya kwakuwa ndio inabeba uhai wa mwanadamu". Amesema Mhe. Makonda


Hata hivyo, amepokea kilio cha upungufu wa dawa ambapo alimtaka Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt. Amani, kutolea majibu ambapo alisema changamoto hiyo ipo japo si kwa ukubwa lakini wamekuwa wakiendelea kuhakikisha changamoto hiyo inakwisha.


Sambamba na hilo, RC Makonda alipokea changamoto ya kutokuwepo kwa umeme wa ziada iliyotolewa na mmoja kati ya mwananchi ambapo kwa majibu ya Dkt. Amani alisema tayari wameshanunua jenereta la ziada kwaajili ya kuepukana na changamoto ya umeme pale ambapo ikitokea umekatika.


Akitolea majibu kuhusu malalamiko ya ufinyu wa muda wa kuwaona wagonjwa, RC Makonda ameutaka uongozi wa hospitali hiyo kutumia busara katika kukabiliana na changamoto hiyo ilikusudi wananchi wanaokuja kuona wagonjwa wao na wao wapate faraja.


"Kila pahala kuna utaratib wake lakiniwakati mwingine tumieni busara ya kutazama mazingira yenu yapoje kwa maana ya upatikanaji wausafiri na umbali na watu wengine hawana uwezi wa kulipia hoteli za karibu na hapa kwakuwa kama mnavyojua Arusha ni Mji wa kitalii gharama zake za hoteli kiasi zinakuwa juu"

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa