• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA MONDULI

Posted on: May 27th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda akikagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa miundombinu ya hospitali ya wilaya ya Monduli leo Mei 27, 2024.

Katika mradi huo, Mhe. Makonda ameipongeza Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi zilizoweza kutekeleza miradi ya maendeleo kisekta ikiwemo fedha za upanuzi wa majengo muhimu kwenye hospitali ya wilaya ya Monduli, majengo ambayo yanakwenda kukamilisha na kuipa hadhi ya hospitali ya wilaya hiyo pamoja na kuhakikisha wagonjwa wanapata huduma za afya ndani ya eneo lao.

" Tunaamini mwishoni mwa mwezi  Juni majengo yatakuwa yamekamilika na kuanza kutoa huduma, ninawasisitiza endeleeni kurekebisha changamoto zote zilizoainishwa na timu zilizotangulia na mimi, wakati mwingine nikija hapa nikute majengo yenye viwango vya ubora kulingana na thamani ya fedha zilizotolewa" Amesisitiza

Aidha, amekitaka Kitengo cha Ustawi wa Jamii kufanya  kazi vizuri ya kuhudumia wananchi wenye changamoto ili kuhakikisha wanazishughulikia kero zote na kuhakikisha zinaishia hapa bila ya kufika mkoani.

"Rai yangu kwa watendaji na waandisi mnapojenga maje go zingatieni mahitaji yote ya majengo ikiwemo maneneo ya kuingiza hewa na zima moto".Amesema Mhe. Makonda

Hata hivy Mhe. Makonda ameuagiza uongozi wa wilaya hiyo kusimamia ujenzi huo ili uweze kukamilika ifikapo mwishoni mwa mwezi Juni, 2024 na majengo hayo yaweze kutumikia kuwahudumia wananchi kama yalivyo makusudi ya serikali ya awamu ya sita.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa