• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA AMEWATAKA WANAFUNZI CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII TENGERU KUWEKA BIDII KWENYE MASOMO..

Posted on: May 29th, 2024

Na Elinipa Lupembe


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amewasihi wanafunzi wa chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru (TICD) wilaya ya Arumeru kuwa na nidhamu na kuzingatia masomo kwa kuwa Serikali inawategemea kuja kulitumikia Taifa lao kwa utalamu watakaoupata chuoni hapo.


Mhe. Makonda ametoa rai hiyo, mara baada ya wanafunzi hao kuishukuru Mhe. Rais  Dkt. Samia Suluhu Haszan kwa kuwaongezea fedha za matumizi 'boom' pamoja kuboresha miundombinu ya chuo hicho, wakati mkuu huyo wa mkoa alipotembelea chuoni hapo na kupata wasaa wa kuzungumza na wanachuo hao, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukagua utekelezaji wa shughuli za maendeleo mapema leo Mei 29, 2024,  inayokwenda kwa jina la 'Siku 6 za Moto Arusha'.


 Ameweka wazi kuwa, Serikali ya awamu ya sita imewekeza fedha nyingi kwa ajili ya kuhakikisha wanafunzi wanasoma kwenye mazingira rafiki huku ikiwa na tegemeo la kupata watalamu wa fani hiyo muhimu kwa maendeleo ya Jamii ya watanzania huku akiwatia moja kuweka juhudi kwenye masomo kwa kujiamini na kuwa na nidhamu  ya hali ya juu.


"Nimekuja hapa kwa lengo la kusalimiana nanyi kama wakazi wa Arusha, nikiwa kama mkuu wenu wa mkoa pamoja na kuwashukuru kwa uzalendo wenu mnaojitoa kila mara kwenye matukio ya kimkoa, ninachotaka wanafunzi wote mjiamini, muwe na nidhamu itakayowapa nafasi ya kuweka mipango yenu thabiti ya maisha yenu ya baadaye, niwahakikishie mnasoma kwenye mkoa mzuri, mkoa wa watu wenye hela na mkoa wanaoishi wajanja msitamani kuondoka Arusha". Amesema Mhe. Makonda


Aidha, amesema kuwa kila mwananchuo anatakiwa kuwa na malengo ya kuja kulitumikia taafa lake huku akijipanga kufaidi matunda ya nchi yake, na kuhakikisha  na kuwasisitiza umuhimu wa kupambana katika kutimiza ndoto zao kwa kuwasimulia historia ya Maisha yake na namna alivyofanikiwa kutimiza malengo aliyokuwa nayo.


Hata hivyo amewaahidi kufanya tamasha la vyuo vyote vya elimu ya kati na juu vya mkoa wa Arusha, tamasha ambalo litatoa futsa ya kila chuo kuonyesha ubunifu wa kazi wanazozifanya kwenye vyuo vyao na baadaye  kufanya bonanza la shangwe kwa pamoja.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa