• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MRADI WA MADARAJA YA KING’ORI BARABARA YA ARUSHA – MOSHI

Posted on: May 20th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, leo asubuhi amefanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa madaraja mawili ya King’ori yanayojengwa katika barabara kuu ya Arusha – Moshi na kuridhishwa na kasi na ubora wa ujenzi wa madaraja hayo ambayo ni kiunganishi muhimu kati ya mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.



Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Mhe. Makonda amesema kuwa mradi huo ni sehemu ya jitihada za serikali katika kuboresha miundombinu ya usafiri nchini, hasa maeneo ambayo yamekuwa na changamoto kubwa wakati wa mvua ambapo serikali imechukua hatua hiyo baada ya wananchi kadhaa kupoteza maisha katika eneo hilo mwaka uliopita kutokana na changamoto za miundombinu hafifu.



"Serikali ina wajibu wa kulinda maisha ya wananchi wake, ndiyo maana tumetafuta suluhu ya kudumu kwa kujenga daraja imara badala ya makalvati yaliyokuwa yakisababisha madhara na hii ni hatua kubwa ya maendeleo katika kuhakikisha usalama wa barabara hii muhimu.” Amesema Mhe. Makonda.



Aidha, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuhakikisha miundombinu ya barabara nchini inaboreshwa na kuwa salama wakati wote – iwe ni kipindi cha mvua au kiangazi pamoja na kuipongeza Wizara ya Ujenzi na taasisi husika kwa kutekeleza kwa ufanisi maelekezo ya Mhe. Rais.



Hata hivyo, mesisitiza umuhimu wa watumiaji wa barabara kufuata sheria na taratibu za usalama barabarani ili miundombinu hii iweze kudumu kwa muda mrefu, hasa ikizingatiwa kuwa barabara hii inapita magari makubwa ya mizigo na pia hutumiwa na watalii wengi wanaotembelea maeneo ya kitalii ya Kaskazini mwa Tanzania.



“Natoa wito kwa wananchi kuendelea kuunga mkono juhudi za Mhepp Rais. Badala ya maneno, tuongeze bidii ya kufanya kazi na kutafuta fedha halali. Hii ndiyo njia ya kweli ya kuleta maendeleo ya kweli kwa taifa letu,” ameongeza.



Mradi huo unatekelezwa kwa ufadhili wa Benki ya Dunia kqa gharama ya shilingi bilioni 4.6 na unatarajiwa kukamilika ifikapo Julai 2, 2025.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa