• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA ASISITIZA UMUHIMU WA KUFUATA TARATIBU NA KUHUDHURIA VIKAO VYA SERIKALI ZA MITAA.

Posted on: April 15th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.Paul Christian Makonda amesisitiza umuhimu wa wananchi wa Mkoa wa Arusha kudumisha na kutunza amani na utulivu mkoani hapa, akiwataka kufuata taratibu pale panapotokea migogoro ama sintofahamu za kiutendaji kwenye maeneo yao.



Akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Longdon- Mazengo Kata ya Sokoni One leo Jumanne Aprili 15, 2025, Mhe. Makonda pia amewahimiza kuwa na utamaduni wa kuhudhuria vikao kati yao na Viongozi wa maeneo yao, ili kujua mipango ya Maendeleo katika maeneo yao sambamba na kuwasilisha kwa viongozi wao changamoto mbalimbali zinazowakumba.



"Linapotokea jambo fuateni utaratibu wa kuwafuata viongozi wa serikali sambamba na kushiriki kwenye vikao vyote vya msingi ili kusikiliza na kutoa maoni kuhusu maendeleo katika maeneo yenu badala ya kuandamana na kujitangaza hali inayoweza kuleta taharuki na kuchafua taswira ya Mkoa wetu.Mkitumia utaratibu unaofahamika na taarifa zikanifikia nitashughulika na kila mmoja anayehusika kukwamisha shughuli za maendeleo." Amesema Mhe. Makonda.



Mhe. Makonda amefanya ziara hiyo leo mahususi kwaajili ya kuwasikiliza wananchi hao ambao wamekuwa wakilalamika kuhusu kivuko kichopo katika mtaa huo akiahidi kuwa serikali inaendelea na jitihada mbalimbali za kuhakikisha kuwa miundombinu ya Mkoa wa Arusha inakuwa sawa na yenye kupitika kwa nyakati zote.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa