• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA ATAKA KASI ZAIDI MRADI WA UJENZI JENGO LA UTAWALA JIJI LA ARUSHA.

Posted on: January 9th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda leo Alhamisi Januari 09, 2025, amekagua maendeleo ya Ujenzi wa Jengo la Utawala la Halmashauri ya Jiji la Arusha na kuagiza mkandarasi anayesimamia Ujenzi huo kwa awamu ya pili (Phase 2) kuhakikisha kuwa anakamilisha kazi yake mwezi Mei mwaka huu badala ya mwezi Julai iliyokuwa imepangwa awali.



Mhe. Makonda amefikia uamuzi huo baada ya kuelezwa kuwa mradi huo umekuwa ukisuasua bila sababu za msingi ilihali tayari Rais Samia Suluhu Hassan alikwisha idhinisha zaidi ya Bilioni 6 za ujenzi wa awamu ya pili ya Jengo hilo la Ghorofa sita, Akitaka pia taratibu za kimkataba na Ujenzi kwa awamu ya tatu kuanza kuandaliwa haraka badala ya kusubiri kukamilika kwa ujenzi awamu ya pili.



Katika Hatua nyingine Mhe. Makonda pia amesisitiza Halmashauri zote za Mkoa wa Arusha kutumia wenyeji wa Arusha na wenye sifa kwenye tenda mbalimbali ili kukuza pato la Mkoa pamoja na kuwataka Madiwani, Wataalamu na Viongozi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Arusha kushikamana na kuhakikisha kila wanachokifanya kinakuwa na matokeo chanya kwa Wananchi kama sehemu ya Kumpa sifa na Shukrani Rais Samia Suluhu Hassan anayehakikisha mara zote kuwa serikali yake haiwi kikwazo kwa maendeleo na ustawi wa wananchi wake.



Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Maximilian Iranghe na Mkuu wa wilaya hiyo Mhe. Felician Mtahengerwa, wamemshukuru Mhe. Makonda kwa namna anavyokuza uwajibikaji Mkoani Arusha, wakiahidi kushirikiana na Wataalamu na Watendaji wengine katika kusimamia kikamilifu maelekezo ya Mhe. Paul Christian Makonda ili kuhakikisha kuwa wananchi wananufaika na Ujenzi wa Jengo hilo haraka iwezekanavyo.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa