• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA ATOA MWEZI MMOJA, TAKUKURU KUWAPATA WALIOKWAPUA MILIONI 400 ZA WAENDESHA BODABODA.

Posted on: February 28th, 2025

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda leo Alhamisi Februari 27, 2025 ameipa mwezi mmoja Taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa TAKUKURU mkoa wa Arusha kuhakikisha wanafanya uchunguzi, kuwahoji na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wahusika wote wanaodaiwa kuiba takribani Milioni 400 zilizokuwa mali ya Umoja wa Bodaboda Mkoa wa Arusha.



Kauli ya Mkuu wa Mkoa imekuja kufuatia malalamiko yaliyotolewa leo na Viongozi wa Umoja huo wa bodaboda kwenye Kikao maalum cha kamati ya ushauri ya mkoa, kilichoketi leo kujadili makadirio ya mpango wa bajeti ya mwaka 2025/2026 ambapo inadaiwa kuwa mwaka 2018, wadau mbalimbali walichangisha fedha hizo na kuwekwa kwenye akaunti maalum ya umoja huo na baadae kuanza kuchotwa kupitia matawi mbalimbali ya benki na waliokuwa Viongozi wa Umoja huo.



Wakati wa kikao hicho, Katibu wa Umoja huo mkoa wa Arusha Hakim Msemo mbeke ya Wajumbe wa RCC amehoji ni kwanini imekuwa ngumu kwa watuhumiwa kukamatwa na kufikishwa mahakamani licha ya kuwa yeye binafsi amewahi kusafiri mpaka Dar Es salaam na kupata taarifa za wahusika na kisha kuzifikisha TAKUKURU lakini bado kumekuwa na kigugumizi katika kuwachukulia hatua.



Mhe. Makonda katika maelezo yake ameeleza kulifahamu suala hilo kabla hata hajawa Mkuu wa Mkoa, akitoa hadi Machi 27, 2025 TAKUKURU itoe ripoti kwa wanahabari kuhusu uchunguzi wa suala hilo na ikiwa hakutokuwa na majibu Mkoa utahitimisha kuwa baadhi ya maafisa wa TAKUKURU nao ni miongoni mwa wanufaika wa wizi huo.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa