• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA : DHAMIRA YANGU NI KUONA KILA MWANAARUSHA ANAUFAIKA KUPITIA FURSA YA UTALII...

Posted on: April 19th, 2024

Na Elinipa Lupembe

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mheshimiwa Paul Makonda ameweka wazi kuwa, dhamira yake kubwa mkoani Arusha ni kuona kila mwananchi mkoani humo, ananufaika kupitia fursa ya Utalii unaofanyika Arusha.

Akizungumza na wananchi na wanachuo wa Chuo cha Ualimu Patandi pamoja na wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Elimu Maalum Patandi, muda mfupi baada ya kukamilisha zoezi la upandaji wa miti kwenye viwanja vya chuo hicho, Mhe. Makonda ametamani uchumi wa mwananchi mmoja kuongezeka kupitia fursa na utajiri wa rasilimali ardhi  iliyopo Arusha

"Ninatamani kuona kila mwananchi wa Arusha,  ananufaika na mzunguko wa fedha unaotokana na sekta nyeti za madini na utalii pamoja na fursa nyingine zilizopo mkoani Arusha, utajiri wa rasilimali hizi umnufaishe kila mwanaarusha".Amesema RC Makonda

Hata hivyo, amewasisitiza wakazi wa Arusha kutambua kuwa mkoa wa Arusha ndio mkoa kinara unaozalisha fedha za kigeni nchini, hivyo kila mwanaarusha anapaswa kuhakikisha ananufaika na pato hilo la mkoa kwa kujikita katika shughuli za uzalishaji na sio kubweteka na kuacha watu wengine kunufaika nazo

Amewataka wananchi hususani vijana ili kuhakikisha kuwa Arusha inaendelea kuwa kinara kwa kuingiza fedha za kigeni kupitia Utalii amewasisitiza vijana kuchangamkia fursa ya utalii kwa kujiajiri badala ya kusubiri kuajiriwa, jambo ambalo linasababisha vijana wengi kuwa tegemezi wakati wakisubiri kuajiriwa.

"Hakikisheni tunanufaika na fedha zinazotokana na utalii katika maeneo yetu, hakuna maana ya kijana kusoma vizuri na kurudi nyumbani kukaa, Mkoa wetu unafursa nyingi changamkieni kila mmoja kwa nafasi yake, zipo kazi nyingi zinahitaji rasilimali watu hata kwa ambao hawajapata fursa ya kusoma" Amesisitiza Mhe.Makonda.

Awali, Mkuu wa Mkoa huyo ameataka wakazi wa Arusha, kila mmoja kupanda miti ili kutunza mazingira na kuhifadhi uoto wa asili ambao ni urithi wa thamani kubwa kutoka kwa Mwenyenzi Mungu.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa