• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MONGELLA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI KORONGONI KATA YA LEMARA....

Posted on: October 18th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. John V.K. Mongella, ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa shule mpya ya sekondari Korongoni kata ya Lemara, mradi unaotekelezwa kwa gharama ya shilingi milioni 400 fedha kutoka serikali kuu.

Mkuu huyu wa mkoa ameuagiza uongozi wa Jiji la Arusha kukamilisha mradi huo kwa kuzingatia kiasi cha fedha kilichotolewa na serikali kwa kuwa fedha za mrdai zimekuja na maelekezo yake.

"Serikali imetoa milioni 400, fedha hizo zitumike kukamilisha mradi kwa kuzingatia viwango vya ubora vinavyoendana na thamani ya fedha, nakemea tabia ya wakurugenzi kuongeza fedha kutoka mapato ya ndani, fedha hizi zikamilishe mradi huu kwa wakati" Amesisitiza Mhe. Mongella.

Aidha amemtaka mhandisi wa Halmashauri hiyo kuzingatia manunuzi ya vifaa vyenye ubora, unaoendana na thamani ya fedha kwa kuwa upatikanaji wa vifaa kwa jiji la Arusha ni rahisi tofauti na halmashauri za pembezoni kama Longido na Ngorongoro hivyo ni muhimu kuonesha utofauti.

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi huo, Afisa Mtendaji wa katanya Lemara Lucas Nyamhanga, amesema kuwa kiasi hicho cha fedha kitajumuisha ujenzi wa sakafu ya kwanza na ya pili yzenye idadi ya vyumba 8 vya madarasa na matundu 22 ya vyoo.

Amefafanua kuwa lengo la mradi huo ni kuboresha miundombinu ya elimu katika Jiji la Arusha  na kupunguza msongamano wa wanafunzi shuleni unaoenda sambamba na ongezeko la wanafunzi linalotokana na  Sera ya Elimu bila malipo.

#ArushaFursaLukikuki

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa