• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MONGELLA ARIDHISHWA NA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI ENGARNAIBOR...

Posted on: December 22nd, 2023

Na Elinipa Lupembe


Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa ujenzi, wa shule mpya ya sekondari Engarnaibor, kata ya Mundarara wilaya ya Longido, mradi uliotekelezwa kwa ubora na kukamilika kwa wakati.


Mhe. Mongella ameonesha kuridhiahwa na hali ya utekelezaji wa mradi huo, mara baada ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa shule hiyo mpya, ambao tayari umekamilika ukiwa na viwango vya ubora unaokubalika kuendana na thamani ya fedha zilizotolewa na Serikali.


Amesema kuwa licha ya kata ya Mundarara kuwa umbali wa zaidi ya Km 30 kutoka makao makuu ya wilaya, kukiwa na gharama za usafirishaji na ufikishaji wa vifaa vya ujenzi eneo hilo, bado ujenzi umefanyika kwa viwango na kukamilika kwa wakati.


"Watumishi tukipewa dhamana ya kusimamia shughuli za maendeleo tujitoe, na kuwa waadilifu na wenye nidhamu na waaminifu kwa manufaa ya Umma, niwapongeze wasimamizi wa mradi huu, endeleeni na moyo huo ". Ameweka wazi Mhe. Mongella


Kaim Mkuu wa shule, sekondari Engarnaobor Mwl. Sabato Petro Nagagi, amesema kuwa, mradi huo umetekelezwa kwa gharama ya shilingi milioni 572, milioni 470 fedha kutoka serikali Kuu, kupitia mpango wa kuboresha miundo mbinu ya Elimu Sekodnari nchini (SEQUIP) na shilingi milioni 102 zikiwa ni fedha za mapato ya ndani ya halmashauri.


Ujenzi huo umejumuisha jengo la utawala, vyumba vya madarasa, maabara za masomo ya Sayansi, chumba cha TEHAMA, vyoo pamija na vyoo vya wanafunzi.


Awali mkuu wa mkoa wa Arusha, amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa shughuli za maendeleo kwilaya ya Longido, ikiwa ni maandalizi ya mapokezi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza mapema Januari 2023.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa