• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MONGELLA ASHIRIKI HAFLA YA UZINDUZI WA OFISI YA UBALOZI MDOGO WA UGANDA MKOA WA ARUSHA.

Posted on: November 25th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Mkuu wa mkoa wa Arusha, Mhe. John V.K.Mongella ameshiriki hafla ya uzinduzi wa Ubalozi Mdogo wa Uganda mkoani Arusha, eneo Uzunguni barabara ya  Haile Sellasie, Jijini Arusha.


Akizungumza kwenye halfa hiyo, Mhe. Mongella ameishukuru Serikali ya Uganda, kwa kufungua ofisi ndogo za Ubalozi mkoani humo, kutokana na umuhimu wake wa uhusiano wa miaka mingi kati ya watu wa Arusha na watu wa Uganda na kukiri kuwa, Ofisi hizo zimechelewa kufunguliwa mkoani hapo.


Amethibitisha kuwa, upo uhusiano mkubwa na uliodumu kwa miongo mingi kati ya Tanzania na Uganda, hasa kwa kuzingatia Uganda ni miongoni mwa nchi za kwanza, kuungana na kuunda Jumuia ya Nchi za Afrika Mashariki na kuahidi kutoa ushirikiano wa kiseta wakati wote kama yalivyo maelekezo ya Serikali ya awamu ya sita.


"Serikali ya Tanzania, chini ya uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imetuelekeza kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia kwa nchi yoyote itakayofungua ofisi ndogo za balozi mkoani hapa, niwaahidi kudumisha ushirikiano baina yetu, zaidi niwakaribishe Arusha, ninaamini mtafurahia kuwepo Arusha" Ameweka wazi Mhe. Mongella.


Awali Ofisi ndogo za Ubalozi wa Uganda mkoani Arusha, imefunguliwa rasm na Naibu Waziri Mkuu, Jamhuri ya Uganda na Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Mhe. Rebeca Kadaga, kwa kukata utepe leo tarehe 25 Novemba 2023, Barabara ya Haile Selassie na 20B, Jiji la Arusha.


HAILE SELASSIE ROAD NO.20B

ARUSHA MUNICIPALITY

 P.O.BOX.2462

ARUSHA


#arushafursalukuki

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa