• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MONGELLA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI HOSPITALI MPYA YA WILAYA YA KARATU; AAGIZA KUFUNGWA UMEME WA KUENDESHA VIFAA TIBA..

Posted on: October 24th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. John V.K Mongella akikagua mradi wa Ujenzi wa Hospitali mpya ya Wilaya ya wilaya ya Karatu mradi unaotekelezwa na Serikali kwa gharama ya zaidi ya shilingi Bilioni 3.5.


Mhe. Mongella ameuelezea mradi huo kuwa ni muhimu kwa wananchi wa Karatu kwa kuwa hakukuwa na hospitali ya wilaya inayotoa huduma zote kabla ya kwenda hospitali ya Rufaa.


Hata hivyo amemuagiza Mkurugenzi kuongeza kasi ya usimamizi na utekelzaji katika hatua za umaliziaji ikiwemo kuweka umeme wenye uwezo wa kuendesha mashine kubwa ikiwemo mashine za kuzalisha Oksijeni, na vifaa tiba ambavyo tayari serikali imekwisha kuvito ili mradi huo ukamilike na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.


"Licha ya Mradi kuwa katika hatua za mwishoni DC na Mkurugenzi ongezeni kasi ya kukamilisha mambo ambayo ni ya muhimu, fuatilieni TANESCO ili kufikisha umeme wenye nguvu ya kusukuma mitambo hii, ifikapo Novemba 30 mradi uwe umekamilika na kutoa huduma zote"


Zaidi amewataka watoa huduma kuhakikisha wanatoa huduma bora ili wanachi waweze kuvutiwa kutumia Hospitali za serikali na sio kwenda kutumia gharama kubwa katika hospitali za binafsi.


Mhe. Rais anasisitiza suala la huduma bora kwa wateja, customer care ndio msingi wa hospitali, Watalamu mliopa kwenye hospitali zetu, Serikali imewaamini na kuwapa dhamana kubwa na muhimu kwa maisha ya binadamu, fanyeni kazi kwa bidii na weledi huku mkitambua mnayo dhamana ya maisha ya watu na sio serikali peke yake" Amebainisha RC


Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Karatu Juma Hokororo amesekiri kupokea maagizo ya Mheshimiwa mkuu wa Mkoa na kuahidi kuongeza kasi ya usimamizi wa mradi huo, na kufafanua kuwa tayari wamekwisha kufanya mawasiliano na TANESCO na mchakato wa kubadilisha Transfomer umefanyika na anaamini umeme utafika hospitalini hapo na vifaa vyote kuanza kutumika.


"Kipekee tunamshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kujenga Hospitali ya wilaya, ni hitaji la wananchi na tayari licha ya kwamba bado tunaendela na ukamilishaji lakini tayari huduma za nje zimeanza kutolewa"Ameema Hokororo


Awali Muuguzi Mkuu wa Hospitali hiyo amesema kuwa kwa sasa hospitali imeanza kutoa huduma na  kuhudumia  wagonjwa thelathini kwa siku



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa