• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MONGELLA ATOA SALAMU ZA POLE KWA FAMILIA YA GEOR DAVIE NAMII WA KANISA LA NGURUMO YA UPAKO..

Posted on: December 17th, 2023

Na Elinipa Lupemne


Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. John V.K Mongella, ametoa salamu za pole kwa niaba ya Serikali, kwa familia, waombolezaji, ndugu, jamaa na marafiki, wakati wa ibaada maalum ya mazishi ya marehemu Nic Davie (Nisher), ambaye ni mtoto wa Nabii Mtume Geor Davie wa Kanisa la Ngurumo ya Upako, eneo la Kisongo mkoani Arusha.


Mhe. Mongella ametoa salamu za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliyetoa pole kwa familia na wote walioguswa na msiba huo wa kijana wa kitanzania ambaye alikuwa akilitumikia Taifa katika fani ya Sanaa.


"Mheshimiwa Rais Dkt. Samia, ameniagiza kutoa pole kwa familia yako Mtume Geor Davie, Mhe. Rais amesema atakuja kukusalimu pindi atakapokuja Arusha". Amesema Mhe. Mongella


Hata hivyo amesema kwamba, serikali inathamini kazi inayofanywa na watumishi wa Mungu, ikiwemo huduma kubwa na maarufu ya Ngurumo ya Upako katika mkoa wa Arusha, huduma ambayo inawajenga wananchi kiroho na kusababisha mkoa kuwa na amani na utulivu.


Amebainisha kuwa, maendeleo ya mkoa wa Arusha na Serikali ya awamu ya sita, yanatokana na amani na utulivu wa wananchi wake, inayotokana hudma za kiroho, inayosababisha wananchi kufanya shughuli za uzalishaji mali na na kukuza kipato.


Hata hivyo, amewataka wanaArusha kuendelea kudumisha amani, umoja na mshikamano baina yao na kufanyakazi kwa bidii ili kumuunga mkono Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na serikali yake ya awamu ya sita.


Awali, Marehemu Nic Davie ( Nisher), alikuwa ni Mtayarishaji wa video mbalimbali za wanamuziki na filamu,muimbaji na mtunzi wa nyimbo, na amezikwa nyumbani kwao eneo la Kisongo, tarehe 16 Desemba, 2023.


Bwana Alitoa, Bwana Ametwa, Jina Lake Lihimidiwe

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa