• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MONGELLA AWASHUKURU WANAARUSHA, VIONGOZI NA WATANZANIA WOTE KWA KUSHIRIKI MSIBA NA MAZISHI YA HAYATI EDWARD NGOYAI LOWASSA

Posted on: February 18th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John V.K Mongella, amewashukuru viongozi wa chama na Serikali wakiongozwa na Rais Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan pamoja na wananchi wote wa mkoa wa Arusha na watanzania wote kwa ushirikiano waliouonyesha kipindi chote cha msiba wa Hayati Edwrd Lowasa, tangu ulipotangazwa siku ya mazishi.


Mhe. Mongella ametoa shukrani hizo za dhati kwa niaba ya mkoa na Kamati ya Usalama ya Mkoa huo, kwenye ofisi ya mkuu wa mkoa huo mapema leo 18 February 2024, ziwafikie wote walioshiriki kwa namna moja ama nyingine kufanikisha shughuli ya mazishi ya mzee Lowassa.


Amesema kuwa, katika kipindi chote cha msiba kumekuwa na ushirikiano mkubwa kati ya mkoa na serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, viongozi wa Mikoa yote ya Kanda ya Kaskazini, Manyara, Kilimanjaro na Tanga,  uliosababisha zoezi hilo nyeti la Kitaifa kufanikiwa kwa ufanisi Mkubwa.


“Viongozi na wananchi wengi walionesha ushirikiano mkubwa, kwa Kamati ya Kitaifa iliyokuwa inaratibu Msiba huu, watalam na timu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, niwaombe tuendelee na moyo huo wa upendo hasa pale linapotokea jambo lolote kwenye Taifa letu ili kudumisha umoja na mshikamano wetu.” Amesema.


Aidha, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kushiriki na kuwaongoza watanzania kwenye ibada maalum ya mazishi yailiyofanyia Februari 17, 2024 kijiji cha Ngarash wilaya ya Monduli.


Awali, Hayati Edward Ngoyai Lowassa alifariki tarehe 10, Februari 2024 na kutangazwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akiwa ziarani mkoani Arusha.


Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa,Jina lake Lihimidiwe




                        
                       
                        </div>
                        <!-- /.right-sidebar-content -->
                        <!--/END RIGHT SIDEBAR CONTENTE SECTION-->
                    </div>



<div class=

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa