• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MONGELLA AWATAKA VIONGOZI WA JIJI LA ARUSHA KUONGEZA KASI YA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU

Posted on: July 13th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amewataka viongozi wa Wilaya ya Arusha na Halmashauri ya Jiji la Arusha kuongeza kasi ya ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo ili ikamilike kwa wakati.

Mhe. Mongella ameyasema hayo alipokuwa akikagua miradi ya elimu iliyochini ya mradi wa kuboresha na kuimarisha elimu ya awali na msingi (boost) katika jiji la Arusha.

Amesema, miradi ni mizuri ila kasi ya ujenzi ni ndogo hivyo wajitaidi kuongeza kasi  ya ujenzi ili wakamilisha ujenzi wa miradi kwa wakati.

"Nataka muongeze kasi ya ujenzi na ifikapo Julai 20,2023 mnikabidhi miradi yote ikiwa imekamilika",alisema.

Amesisitiza kuwa serikali inaleta fedha nyingi za miradi hivyo niwajibu wa kila mmoja kuhakikisha fedha hizo zinatumika kama ilivyopangwa.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Arusha Felician Mtahengerwa amesema watayafanyia kazi maelekezo yote yaliyotolewa na Mkuu wa Mkoa hasa lakusimamia miradi ya elimu ikamilike na kukabidhi ifikapo Julai 20,2023.

Nae, Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Juma Hamsini amesema ataenda kuimarisha kitengo cha ujenzi ili kuhakikisha miradi yote inakamilika kwa wakati uliopangwa.

Ziara ya RC Mongella ilikuwa yakukagua miradi ya kuboresha miundombinu ya kidato cha sita katika shule ya Korona na mradi wa Boost katika shule ya Msingi Terrat na Msasani B ambapo kwa Mkoa mzima wa Arusha fedha kiasi cha bilioni 6.8 kilitolewa kwa ajili ya mradi wa Boost.




Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa