• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RCWATUMISH "WATUMISHI WEKEZENI KWENYE FURSA ZILIZOPO; MSIJE KUTUSUMBUA MKISTAAFU"

Posted on: July 11th, 2024


Na Elinipa Lupembe 


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christia Makonda Paul Makonda  amewataka Maafisa wa Taasisi za Ulinzi na watumishi wengine wa Umma Mkoani humo, kuwekeza kwenye fursa mbalimbali zinazopatikana mkoani hapa ikiwa ni maandalizi ya maisha baada ya kustaafu utumishi wa Umma.


Mhe. Makonda amesema hayo kwenye kikao kazi kilichowakutanisha Wakuu wa Taasisi za Ulinzi, kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Mkuu wa mkoa hup mapema leo Julai 11, 2024 na kuwataka Maafisa hao kutembelea ofisi za Kituo cha uwekezaji (TIC) iliyozinduliwa Mkoani Arusha, ili kujifunza na kuzielewa fursa zinazopatikana mkoani hapa na kuzitumia wakati wa utumishi wao, kabla ya kustaafu.


"Haitakuwa na heshima unakutana na mtu amestaafu halafu anaomba achangiwe hela ya matibabu, yaani unajisika vibaya kwamba hata uwezo wa kuwa na bima ya afya imekuwa changamoto, tumia akili ulizonazo za kuongoza taasisi kwenye kwenye familia yako, utalamu wako uakisi maisha yako" Amesema Mhe. Makonda.


Mhe. Makonda ameweka wazi kuwa, watumishi wa Umma wanapaswa kujiandaa na maisha ya kustaafu jambo ambalo linasaidia kuondoa migogoro, lawama na malalamiko ndani ya familia, kwa kufanya maandalizi familia zitaendelea kupata mahitaji muhimu hata baada ya kustaafu kwenye utumishi wa Umma.


Aidha, amesisitiza pia umaskini na shida zinasababisha kuongezeka kwa vitendo vya rushwa, uhalifu na uminywaji wa haki kwa baadhi ya watumishi wa umma, na hivyo kusisitiza dhamira ya kuwa na chanzo zaidi ya kimoja cha kuwaingizia kipato watumishi wa umma.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa