• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

SEKTA YA MAENDELEO YA JAMII NI SEKTA WEZESHI KATIKA KUWAINUA WANANCHI KIUCHUMI..

Posted on: November 20th, 2023

Na Prisca Libaga Arusha


Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima amesema sekta ya Maendeleo ya Jamii ni daraja wezeshi katika kuwainua wananchi kiuchumi na hivyo Serikali imeandaa mpango wa maendeleo kupitia sekta hiyo ya maendeleo ya jamii katika kutokomeza Umaskini na Ukatilli wa Kijisia kwenye Jamii kwa kutumia rasilimali zilizopo kwenye jamii yenyewe.


Waziri Gwajima amelitumia Kongamano la 16 la Mwaka la Wataalamu wa Maendeleo ya jamii nchini linalofanyika kwa siku tatu jijini Arusha kuwaeleza wataalamu hao wa Maendeleo ya Jamii umuhimu wa kuwaelimisha na kuwafikia wananchi wa ngazi ya chini vijiji na vitongoji juu ya fursa mbali mbali zinazotolewa na Serikali


Kwa upande wake Waziri Mkuu Mstafu Mizengo Petter Pinda anapendekeza kwa Serikali kuitazama kwa jicho la pekee sekta hiyo kwa kutoa nyenzo muhimu kwa watalamu hao ili wajikite katika kutatua kero za maendeleo ya Jamii hasa katika ngazi ya vijijini.


Awali Naibu katibu Mkuu Wizara wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju ameeleza kaulimbiu ya mwaka huu “Ni Sekta ya Maendeleo ya Jamii:Msingi imara wa uwezeshaji Wananchi.


Awali Waziri Gwajima ametembelea Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru(TICD) ambayo inaadhimisha miaka 60 ya kuanzishwa kwake. Bakari George ni mkuu wa taasisi hiyo anaeleza mchango wa taasisi hiyo kwa Taifa


Mwisho.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa