• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

SEKTA ZOTE MKOA WA ARUSHA ZATAKIWA KUTENGA BAJETI KWA AJILI YA SHUGHULI ZA PJT-MMMAM

Posted on: June 19th, 2024


Sekta zote Mtambuka katika Mkoa wa Arusha zimetakiwa kutenga bajeti katika mipango yao ya mwaka wa fedha 2024/2025 kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM) kama inavyoelekezwa kwenye Mwongozo wa Taifa.


Agizo hilo limetolewa na Kaimu Afisa ELimu Mkoa wa Arusha, Emmanuel Maundo wakati akifungua kikao cha tathimini ya Programu hiyo, kilichowakutanisha wadau mbalimbali kutoka Halmashauri zote za Mkoa wa Arusha kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo.


Afisa ELimu huyo, amesema kuwa PJT-MMMAM ni programu muhimu kwa maendeleo ya taifa, kwani inalenga kuhakikisha kuwa watoto wote wanapata malezi, makuzi na maendeleo bora ya awali.


“Kila Sekta Mtambuka inapaswa kutenga bajeti kwa mwaka wa fedha unaofuata ili kutekeleza Shughuli za MMMAM sambamba na kufanya kazi kwa ushirikiano ili kupata matokeo yatakayoleta tija kwa jamii”. Amesisitiza.


Aidha, amesisitiza pia Kuimarisha usimamizi wa utekelezaji wa PJT-MMMAM katika ngazi ya Mkoa, wilaya na kata, Kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa shughuli hizo Pamoja na Kufanya tafiti na tathmini za mara kwa mara ili kubaini maendeleo ya PJT-MMMAM.


Kwa upande wake Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Arusha Blandina Nkini, amesisitiza umuhimu wa kufanya vikao vya tathimini kila robo ili kujua changamoto zilizopo na namna bora ya kuzitatua.


Hata hivyo, Baadhi ya wajumbe wa kikao hicho wameeleza baadhi ya changamoto zinazoikabili program hiyo ikiwa ni Pamoja na mfumo dume miongoni mwa jamii za wilaya ya Longido na Ngorongoro mambo yanayotajwa kuchangia wazazi wa kiume kushindwa kuwajibika kikamlifu katika malezi yenye mwitikio kwa watoto wenye umri wa mwaka sifuri mpaka nane.


Awali, kikao cha taarifa utekelezaji wa programu jumuishi ya malezi makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto (PJT_MMMAM) cha halmashauri zote Mkoa wa Arusha kinajadili utekelezaji wa programu hiyo kwa robo ya tatu ya mwaka 2024

May be an image of 6 people, people studying and text

May be an image of 2 people and text

May be an image of 6 people, people studying and text

May be an image of 4 people, people studying and text

May be an image of 3 people, dais and text

May be an image of 1 person, rhinoceros and text

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa