• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI KUBORESHA MAZINGIRA YA WAWEKEZAJI NA WAFANYABIASHARA SEKTA YA UTALII...

Posted on: June 7th, 2024

Na Elinipa Lupembe

Waziri wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania Mhe. Angellah Kairuki amesema Serikali ya awamu ya sita itaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara nchini Tanzania hususani katika sekta ya Utalii ili kuhakikisha sekta binafsi inashiriki kikamilifu kwenye maendeleo ya nchi.

Akizungumza mara baada ya uzinduzi wa msimu wa tisa wa Maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Karibu - Kili Fair 2024 mkoani Arusha, Waziri Kairuki amesema kuwa, vivutio mbalimbali vimeendelea kuwekwa na Serikali chini ya Mheshimiwa Rais ,Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha sekta binafsi inafanya kazi zake bila ya vikwazo katiba kuimarisha utalii nchini.

Aidha, Mhe. Kairuki amebainisha kuwa maonesho ya msimu wa 9 ya mwaka 2024, yamekuwa na mafanikio makubwa kuliko miaka iliyopita kutokana na kuwa na washiriki takribani Makampuni ya Utaklii 460 yakishiriki ikilinganishwa na makampuni 400 yaliyoshiriki mwaka 2023.


"Niwaponhezee waandaji na washiriki zaidi ninaishukuru Serikali ya Mkoa wa Arusha inayoongizwa na Mhe. Paul Christian Makonda pamoja na wadau wengine wa Utalii wa ndani na nje ya nchi, kwa kufanikisha maonesho haya makubwa ya utalii kwa ukanda wa Afrika Mashariki, mmefanya kazi nzuri yenye mafanikio makubwa kwa Taifa na Dunia". Amesema Mhe. Kairuki.


Maonesho ya Karibu Kili Fair 2024 yamezinduliwa  Juni 07, 2024 kwenye viwanja vya Magereza Kisongo huku makampuni 460 yakishiriki, maonesho ambayo hufanyika kila mwaka kwa siku tatu mfululizo yakiwa na lengo la kukutanisha wadau wa utalii kutoka ndani na nje ya Tanzania ili kubadilishana bidhaa, taarifa na uzoefu unaotokana na sekta ya utalii.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa