• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

SHERIA NA KANUNI KUPITIWA ILI KUONDOA KERO NA VIKWAZO KWA ASASI NA MASHIRIKA YA KIRAIA.

Posted on: July 8th, 2024

Sekretarieti ya Mkoa wa Arusha imeagizwa ndani ya mwezi mmoja kuzitambua na kuketi pamoja na asasi na mashirika ya binafsi yasioingiza faida ili kupanga mkakati wa pamoja wa kuona namna ambavyo watakuza ufanisi katika kuhudumia wananchi wa mkoa wa Arusha.


Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda wakati alipokutana na wadau wa asasi na mashirika hayo ya kiraia, ikiwa ni miongoni mwa maazimio yaliyofikiwa na kikao hicho katika kukuza ufanisi na kuimarisha utendaji kazi wa taasisi hizo muhimu kwa maendeleo ya Mkoa wa Arusha.


Katika hatua nyingine pia Mkuu wa Mkoa ameunda kamati ndogo inayotokana na wajumbe kutoka kwenye asasi na mashirika hayo, kwaajili ya kupitia na kuchambua sheria na kanuni mbalimbali ambazo zimekuwa zikisababisha mgongano na vikwazo kwenye utendaji wa asasi na mashirika yanayofanya kazi mkoani Arusha.


Mkuu wa Mkoa wa Arusha amesema mapendekezo yatakayotokana na uchambuzi huo yatawasilishwa kwa Mamlaka husika lengo likiwa ni kupata sera na sheria ambazo zitakuwa rafiki kwa asasi na mashirika hayo pamoja na kwa wafadhili wanaosaidia asasi na mashirika hayo kufanya kazi zake.


























Sekretarieti ya Mkoa wa Arusha imeagizwa ndani ya mwezi mmoja kuzitambua na kuketi pamoja na asasi na mashirika ya binafsi yasioingiza faida ili kupanga mkakati wa pamoja wa kuona namna ambavyo watakuza ufanisi katika kuhudumia wananchi wa mkoa wa Arusha.



Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda wakati alipokutana na wadau wa asasi na mashirika hayo ya kiraia, ikiwa ni miongoni mwa maazimio yaliyofikiwa na kikao hicho katika kukuza ufanisi na kuimarisha utendaji kazi wa taasisi hizo muhimu kwa maendeleo ya Mkoa wa Arusha.



Katika hatua nyingine pia Mkuu wa Mkoa ameunda kamati ndogo inayotokana na wajumbe kutoka kwenye asasi na mashirika hayo, kwaajili ya kupitia na kuchambua sheria na kanuni mbalimbali ambazo zimekuwa zikisababisha mgongano na vikwazo kwenye utendaji wa asasi na mashirika yanayofanya kazi mkoani Arusha.



Mkuu wa Mkoa wa Arusha amesema mapendekezo yatakayotokana na uchambuzi huo yatawasilishwa kwa Mamlaka husika lengo likiwa ni kupata sera na sheria ambazo zitakuwa rafiki kwa asasi na mashirika hayo pamoja na kwa wafadhili wanaosaidia asasi na mashirika hayo kufanya kazi zake.



























Sekretarieti ya Mkoa wa Arusha imeagizwa ndani ya mwezi mmoja kuzitambua na kuketi pamoja na asasi na mashirika ya binafsi yasioingiza faida ili kupanga mkakati wa pamoja wa kuona namna ambavyo watakuza ufanisi katika kuhudumia wananchi wa mkoa wa Arusha.



Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda wakati alipokutana na wadau wa asasi na mashirika hayo ya kiraia, ikiwa ni miongoni mwa maazimio yaliyofikiwa na kikao hicho katika kukuza ufanisi na kuimarisha utendaji kazi wa taasisi hizo muhimu kwa maendeleo ya Mkoa wa Arusha.



Katika hatua nyingine pia Mkuu wa Mkoa ameunda kamati ndogo inayotokana na wajumbe kutoka kwenye asasi na mashirika hayo, kwaajili ya kupitia na kuchambua sheria na kanuni mbalimbali ambazo zimekuwa zikisababisha mgongano na vikwazo kwenye utendaji wa asasi na mashirika yanayofanya kazi mkoani Arusha.



Mkuu wa Mkoa wa Arusha amesema mapendekezo yatakayotokana na uchambuzi huo yatawasilishwa kwa Mamlaka husika lengo likiwa ni kupata sera na sheria ambazo zitakuwa rafiki kwa asasi na mashirika hayo pamoja na kwa wafadhili wanaosaidia asasi na mashirika hayo kufanya kazi zake.























Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa