• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

SIMAMIENI UJENZI WA VITUO VYA AFYA-WAZIRI JAFO

Posted on: July 8th, 2020

Waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Selemani Jaffo, ameiagiza kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Longido kuweka mipango thabiti ya kusimamia ujenzi wa kituo cha afya cha Oriendeki na hospitali ya wilaya ya Longido.

Mheshiwa Jaffo ameyasema hayo alipofanya ziara ya kukagua miradi hiyo katika wilaya ya Longido,mapema wiki hii.

“Sijaridhishwa kabisa na kasi ya ujenzi kwenye wilaya hii,hata fedha zilizoletwa hapa kwenu ni nyingi ukilinganisha na maeneo mengine, sasa inakuwaje nyinyi mmepata fedha nyingi na mmeshindwa kumaliza ujenzi na bado mnataka serikali iwaongezee fedha zaidi?”.

Aidha, mheshimiwa Jaffo amemtaka mkurugenzi wa halmshauri ya Longido Daktari Jumaa Mhina, Mganga Mkuu wa wilaya, afisa manunuzi,muweka hazina wa wilaya na wakuu wa idara kuandika barua za maelezo ya kwanini wameshindwa kumaliza miradi hiyo ijapokuwa serikali ilishatoa fedha za kutosha.

Amesema hajaridhishwa na kasi ya ujenzi wa miradi hiyo kwani serikali imeshatoa fedha za kutosha za kumaliza ujenzi huo lakini anashangaa kwanini mpaka sasa miradi hiyo haijakamilika na fedha zimeisha.

Nae Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mheshimiwa Idd Kimanta amesema wameyapokea maelekezo yote ambayo yametolewa na mheshimiwa Jaffo kwa utendaji zaidi.

Mheshimiwa Jafo yupo katika ziara ya siku 2 Mkoani Arusha kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ujenzi na ukarabati wa vituo vya afya na hospitali za wilaya.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa