• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

SIMAMIENI UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA

Posted on: October 29th, 2018

Viongozi wa halmashauri wametakiwa kusimamia ujenzi wa  vyumba vya madarasa ya sekondari hususani ya kidato cha kwanza kwenye maeneo yao haraka iwezekanavyo.

Maagizo hayo yametolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kwenye kikao cha ushauri cha Mkoa (RCC) kilichofanyika mapema wiki hii.

Amesema ni kweli Mkoa wa Arusha umeshika nafasi ya tatu (3) Kitaifa lakini bado kuna changamoto ya  vyumba vya madarasa takribani 413 kwa Mkoa mzima wa Arusha.

Upungufu wa vyumbo hivyo vya madarasa ni 192 kwa Jiji la Arusha, 109 kwa Arusha DC, 37 kwa Meru, 32 kwa Monduli, Londigo 29 na Ngorongoro 33 ikiwa wilaya ya Karatu haina mapungufu hayo.

Hivyo kuwataka viongozi wa Wilaya, Halmashauri na wadau wa maeneo yao kushirikiana kwa karibu kuongeza vyumba hivyo kabla ya Januari ili watoto wote waliofaulu waweze kupata nafasi za masomo ya sekondari.

Akitoa taarifa ya elimu kwa Mkoa wa Arusha Katibu tawala upande wa Elimu bwana Gift Kyando, amesema Mkoa wa Arusha umefanya vizuri sana kwenye matokea ya darasa la saba kwa kushika nafasi ya 3 Kitaifa kati ya mikoa 26 na halmshauri ya jiji la Arusha imeshaka nafasi ya kwanza kati ya halmashauri 195.

Amesema mbali na ushindi huo bado mkoa unakabiliwa na changamoto ya mimba za mashuleni na upungufu wa matundu ya vyoo kwa baadhi ya shule za mkoani.

Hivyo juhudi kubwa bado inaitajika ili mkoa uweze kushika nafasi ya kwanza katika matokea yote ya mitihani.

Nae mbunge wa Ngorongoro mhe. Tate Wiliam Ole-Nasha ambae pia ni Naibu Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi, amesema ukiona mkoa unafanya vizuri kwenye mambo mbalimbali jua kuna viongozi wanaojituma na kuwajibika kwa ukaribu.

Kikao cha ushauri cha mkoa nicha kwanza kwa mwaka huu mpya 2018/2019 ambapo mambo mbalimbali yamejadiliwa kwa manufaa yakuongeza ufanisi katika shughuli za maendeleo ya mkoa.

 

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa