• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

SISITIZENI SOMO LA HISTORIA KWA WANAFUNZI

Posted on: December 8th, 2021

Maafisa elimu na walimu wa Mkoa wa Arusha wameelekezwa kwenda kusisitiza somo la historia kwa wanafunzi wao ili waweze kujua walipotoka.

Yamesema hayo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongella alipokuwa akizungumza na wananchi wa Jiji la Arusha katika maadhimisho ya miaka 60  ya Uhuru wa Tanzania bara, Jijini Arusha.

" Hakuna kosa kubwa tutakalo lifanya la kushindwa kurithisha historia ya nchi yetu kwa vizazi vijavyo".

Hii itasababisha  watoto wetu kutoona thamani ya amani, umoja na mshikamano ulioanzishwa na wahasisi wetu.

Aidha, amewashauri watu wanaposherekea miaka 60 ya Uhuru kila mmoja aweke malengo yatakayoacha alama kwa miaka 60 ijayo ili mkumbukwe.

Spika wa bunge la Afrika Mashariki Mhe.  Mathias Ngoga amesema amani ya Tanzania imelifanya bara zima la Afrika kujivunia.

Hivyo amewataka watanzania kuilinda amani hiyo kwani kuna nchi zinatamani kuwa na amani kama hiyo.

Akizungumza katika maadhimisho hayo Bi. Neema Omary ambae ni mzee aliyekuwemo kipindi cha kupata Uhuru  wa Tanzania bara amesema muhasisi hayati mwalimu Nyerere alifanikiwa kuondoa matabaka baina ya Watanzania.

Kuna hatua kubwa ya  maendeleo imefanywa ukilinganisha na enzi nchi inapata uhuru.
 
Musa Mkanga nae alikuwa miongoni mwa wazee waliokuwepo kipindi cha uhuru amesema baada ya uhuru usafiri uliokuwa unatumika ulikuwa ni treni na mabasi tu na safari kutoka Mkoa mmoja hadi mwingine ilikuwa inachukua siku 3 hadi 5 lakini sasa hivi njia za usafirishaji ni nyingi.

Hivyo amewahasa watanzania kuyaendeleza hayo mema yanayofanywa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Mkoa wa Arusha umeadhimisha miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania bara kwa kufanya maonyesho ya wafanyabiashara pamoja na huduma ya kutoa chanjo ya UVIKO 19 kwa wananchi katika Viwanja Azimio la Arusha.







Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa