• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TAARIFA KWA UMMA/VYOMBO VYA HABARI: MAKABIDHIANO YA OFISI YA MKUU WA MKOA WA ARUSHA

Posted on: April 7th, 2024

TAARIFA KWA UMMA/VYOMBO VYA HABARI

MAKABIDHIANO YA OFISI YA MKUU WA MKOA WA ARUSHA

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, inapenda kuutaarifu Umma kuwa, hafla fupi ya Makabidhiano ya ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha inatarajiwa kufanyika siku ya kesho, Jumatatu tarehe 08 Aprili 2024, kuanzia saa 03:00 asubuhi, kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo.

Katika hafla hiyo, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu John V.K Mongella atamkabidhi Ofisi kwa mujibu wa taratibu Mkuu wa Mkoa mpya, Mhe. Paul Christian Makonda.

Aidha, baada ya shughuli za Makabidhiano ya kiofisi kukamilika, Mhe. Makonda atawasalimia wananchi watakaokuwa wamejitokeza kwenye viwanja vya ofisi ya Mkuu wa Mkoa, hivyo wananchi wote mnaombwa kujitokeza kwa wingi, kwa ajili ya kumpokea pamoja na kushiriki katika tukio hilo muhimu la kihistoria ambalo linadumisha umoja na mshikamano baina ya wananchi na Uongozi wa Mkoa wetu.

Awali, wageni waalikwa na wananchi wote wanasisitizwa kufika mapema kuanzia saa 01: 30 asubuhi na kuhudhuria kwenu ni muhimu kwa maendeleo ya Mkoa na Taifa kwa ujumla.


Imetolewa na:Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali

OFISI YA MKUU WA MKOA WA ARUSHA


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa