• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TANZANIA IMEFUNGUKA;

Posted on: November 2nd, 2023

Na Elinipa Lupembe

Mawakala wa makampuni 102 ya Utalii kutoka nchini Marekani wamewasili mkoani Arusha kwa ushirikiano wa Bodi ya Utalii (TTBL) na Kampuni ya Excelent Tour Guide kampuni ya kizalendo ya Marekeni, kwa lengo la kubadilishana uzoefu na kujadili namna ya kuunganisha fursa katika sekta ya Utalii kati ya Marekani na Tanzania


Wakiwa nchini Mawakala hao wamekutana na wadau wengine wa utalii pamoja na mambo mengine ya kikazi, watatembelea vivutio mbalimbali vya utalii nchini ikiwemo Arusha na Zanzibar na kufanya mkutano na wadau wanutalii.


Wakizungumza wakati wa hafla ya Chakula cha Jioni, 'Dinner Galla' kwenye hoteli ya Mount Meru wamesema kuwa, wako Tanzania kwa ajili ya kubadilishana uzoefu wa namna ya kuwaleta watalii zaidi kutoka nchini Marekani kufuatia matangazo ya vivutio vya utalii vya Tanzania kupitia Filamu ya Royal Tour.


Mshirika wa Kampuni la Excellent Tour Guide,  kampuni ya Kitalii ya kizalendo nchini Marekani, Lynn McCormick amesema kuwa, Mawakala hao wanaounganisha watalii wa Kimarekani kuja Tanzania, wamefanya mpango wa kuanzisha safari za moja kwa moja za ndege kutoka Marekani mpaka Tanzania ili kupunguza gharama na usumbufu kwa watalii watakaokuja Tanzania.


"Kukiwa na 'route' ya moja kwa moja kutoka Marekani mpaka Tanzania, itawapa fursa watalii wengi zaidi kutoka Marekani na kutembelea Tanzania" Amesema Lynn


Naye Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii (TTB), Damas Mfugale amesema kuwa ujio wa mawakala hao utaongeza fursa ya watalii wa kimarekani nchi ambayo inaleta watalii wengi kufika Tanzania na kutembelea vivuti vya utalii kupitia pango wao  wa kuanzisha safari za ndego za moja kwa moja kutoka nchini Marekani na kutua Tanznania, mpango ambao ni fursa ya kiuchumi kwa Tanzania.


Hata hivyo Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. John V.K. Mongella amesema kuwa, ujio wa Mawakala hao wa utalii utaongeza idadi ya watalii kutoka nchi ya Marekani, na kufikia lengo la watalii elfu tano kwa mwaka, jambo ambalo litachangia kwa kiasi  kikubwa pato la Taifa.


Amesema kuwa serikali imejipanga na kuwekeza fedha kwenye miundombinu ya viwanja vya ndege nchini huku vianjwa vya mkoa wa Arusha, vikifanyiwa ukarabati mkubwa ili kurahisihsa safari za ndani za watalii, na kuongeza kuwa asilimia 80 ya watalii wanatokea Marekani, hivyo kupitia mawakala hao, kunategemewa kuwa na ongezeko kubwa la watalii nchini hususani mkoa wa Arusha.


"Tunazidi kumpongeza Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassani, haya ni matunda ya Filamu Ya Royal Tour, tunaona namna gani hata raia wa nchi nyingine wanaunga mkono juhudi hizi za serikali yetu ya awamu ya sita, kama mkoa na wananchi wote Arusha, tumejipanga vema  kuwapokea na kuwapa huduma stahiki watalii watakaofika mkoani Arusha" Amesisitiza Mhel Mongella


Awali Filamu ya Royal Tour iliyochezwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ilizinduliwa kwa mara ya kwanza nchini Marekani, ikiwa na lengo la kutangaza vivutio vya utalii vinavyopatikana nchini Tanzania jambo ambalo limegungua milango kwa watalii wengi kufika nchini hususani mkoani Arusha kwa ajili ya kutazama vivuti hivyo.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa