• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TANZANIA YAJITOSHELEZA KWA CHAKULA ZAIDI YA 120%

Posted on: August 9th, 2024

Na Jonas Kamaleki - Dodoma

Tanzania inajitosheleza kwa chakula kwa zaidi ya asilimia 120 na hivyo kuwa na uwezo wa kuuza chakula nje ya nchi.


Hii imetokana na Serikali kuwa na mipango madhubuti na kutekeleza mikakati ya kilimo cha kisasa hasa matumizi ya mbolea.


Hayo yamebainishwa na Rais wa Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan jijini Dodoma leo tarehe 8/8/2024 katika kilele cha Siku ya Wakulima Nanenane.


Kilimo hapa Tanzania kinaendelea kupewa kipaumbele kwa kutengewa bajeti kubwa ambayo itatekeleza miradi mbalimbali ya umwagiliaji. Bajeti ya kilimo imetoka kwenye shilingi bilioni 294 hadi trilioni 1.248.


“Nawashukuru sana wakulima kwa kazi kubwa mnazozifanya za kulilisha Taifa”, alisema Rais Dkt. Samia.


Aidha, Dkt. Samia amesema kuwa bajeti ya mifugo imeongezwa kutoka shilingi bikini 60 hadi. zaidi ya bilioni 200.


Rais Samia amegawa matrekta 600 kwa wakulima na kuzindua kiwanda cha kuunganisha matrekta. Hii itapunguza gharama za kununua matrekta hayo.


Aidha, Rais Samia amesema ifikapo mwaka 2030 Serikali itakuwa imepeleka matrekta elfu 10 na power tiller elfu 10 kwa wakulima.


Katika kuhakikisha mazao yanahifadhiwa vizuri, Serikali imejenga maghala makubwa na ya kisasa katika mikoa mbalimbali nchini.


Maonesho ya Nanenane mwaka huu yamefanyika Kitaifa Dodoma baada ya kuzinduliwa tarehe 1/8/2024 na Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kufungwa leo tarehe 8/8/ 2024 na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Mwisho.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa