• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TARURA WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA HALMASHAURI

Posted on: October 29th, 2018

Mitambo yote iliyokuwa ikitumika katika ujenzi wa barabara chini ya halmashauri ikabidhiwe kwa wakala wa barabara za vijijini na mijini(TARURA).

Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo alipokuwa akifunga mkutano wa 40 wa baraza la barabara la mkoa wa Arusha.

“Nawaagiza viongozi wote wa halmashauri kwenda kusimamia makabidhiano ya mitambo yote yakutengeneza barabara iliyokuwa inatumiwa na halmashauri kwenda kwa TARURA kwa kufuata taratibu zote husika.”

Amesema moja ya changamoto wanayokumbana nayo watalaamu kutoka TARURA  ni ukosefu wa vitendea kazi hususani mitambo ya barabara ambayo mingi bado imeshikiriwa na halmshauri karibia zote isipokuwa halmashauri ya Jiji la Arusha.

Pia, amezitaka halmashauri zote kuhakikisha zinatenga fedha za kutosha kwa ajili ya uchangiaji wa shughuli za TARURA na kuziwasilisha mapema iwezekanavyo.

Ameitaka TARURA kuhakikisha inafanya kazi zake kwa karibu sana na halmashauri ili kuongeza ufanisi wa kazi zao.

Akitoa taarifa ya hali ya barabara ya mkoa kaimu mratibu wa TARURA injinia Dickson Kanyakole, amesema TARURA imejitaidi sana kuongeza mtandao wa barabara kutoka 3838 hadi 6928.

Amesema pia changamoto nyingine ni upatikanaji wa malighafi za kutengenezea barabara kama vile changalawe na mawe kwani maeneo wanayoyapa yanamilikiwa na vijiji hivyo kupelekea kuwa na wakati mgumu wakuyapata kwa wakati husika.

Kikao cha bodi ya barabara cha mkoa wa Arusha kimekaa kwa mara ya kwanza mwaka huu 2018/2019 ikiwa ni robo mwaka kwa lengo la kufanya tathimini ya utendaji katika mkoa hasa kwenye miundombinu.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa