• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TATIZO LA KUPOTEZA KUMBUKUMBU NI UGONJWA NA SIO KAWAIDA KWA WAZEE

Posted on: September 21st, 2018

Mkoa wa Arusha kwa mara ya kwanza umeweza kuadhimisha siku ya ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu kwa wazee wenye umri kuanzia miaka 60.

Akitoa taarifa ya maadhimisho hayo yaliambatana na upimaji wa magonjwa mengine kama Kisukari, Presha na Uzito, mwanasaikolojia kutoka hospitali ya Mkoa Mt.Meru bwana Ssenku Shafic Mohamed, amesema zoezi hilo limechukua mda wa wiki nzima.

Na lengo kubwa lilikuwa nikuwapima wazee wenye umri kuanzia miaka 60 na kuendelea ili wajitambue hali yao ya kumbukumbu na magonjwa mengine yasiyoambukiza kama Kisukari,Presha na Uzito.

Aidha, kutokana na zoezi hilo bwana Ssenku amesema wameweza pia kugundua magonjwa mengine kama mtoto wa jicho na tezi dume kwa wazee wanaume.

“Katika hali ambayo hatukitarajia tumeweza kugundua pia ugonjwa wa mtoto wa jicho ambapo kati ya wagonjwa 10 waliokuja hapa watatu kati yao walikuwa wamegundulika na tatizo hilo na pia  ugonjwa wa tenzi dume ambapo kati ya wagonjwa 10 wawili wamegundulika na tatizo hilo”.

Amesema wamefanikiwa pia kutoa ushauri wa vyakula sahihi vinavyowafaa wazee na aina ya mazoezi ili kuhakikisha afya zao zinaimarika na wanajikinga na magonjwa mbalimbali hasa la kupoteza kumbukumbu ambalo lina sadikika ni kawaida kwa wazee lakini kitaalamu ni ugonjwa ambao ukipatiwa matibabu mapema hospitali unatibika.

Maadhimisho hayo yanafanyika kila mwaka Septembea 21 duniani na kwa mwaka huu Tanzania kupita mkoa wa Arusha imeadhimisha siku hii kwa mara ya kwanza kwa kushirikiana na nchi nyingine kama vile Mauritius, Nigeria, Zimbabwe, Madasca na Tunisia.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA 2 YA MAMA SAMIA AKIWA MADARAKANI

    March 19, 2023
  • BONANZA LA MIAKA MIWILI YA MAMA SAMIA

    March 18, 2023
  • UZINDUZI WA KITABU CHA MIAKA MIWILI YA DKT.SAMIA

    March 14, 2023
  • TUMERIDHISHWA NA MIRADI-KAMATI YA SIASA MKOA

    March 09, 2023
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa