• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TEMESA YATUMIA MITAMBO YA KISASA KUKAGUA NA KUTAMBUA CHANGAMOTO ZA MAGARI

Posted on: August 20th, 2024

Na Elinipa Lupembe 


Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) imeanza kutumia mitambo na vifaa vya kisasa vya kielektroniki, kukagua na kutambua changamoto za magari jambo ambalo licha ya kuokoa mugpda na gharama limeongeza ufanisi katika utendaji wa kazi na utoaji huduma.


Akitoa maelezo mbele ya Waziri Mkuu Jamhuri ya Muungano Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, Mhandisi wa Mitambo Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mustafa Abdul amemuelezea kuwa, TEMESA imeanza kutumia vifaa vya kisasa vya kielekroniki katika ukaguzi wa mfumo wa umeme na injini za magari.


Amebaibisha kuwa, kwa sasa TEMESA inavyo vifaa vya kielekroniki vyenye uwezo wa kukagua mifumo ya umeme na injini kwenye gari, mitambo ambayo inauwezo wa kutambua tatizo lilipo bila kulifungua pamoja na kuonyesha matengenezo yanayohitajika.


"TEMESA kwa sasa inatumia vifaa mbavyo vinakagua gari bila kulifungua na kutambua changamoto zinazoikabilia gari na matengenezo yanayohitajika jambo ambalo linarahisisha kazi kwa kuokoa muda na gharama, ukaguzi wake ni wa uhakika na unakupeleka moja kwa moja kwenye tatizo tofauti na zamani mafundi walikuwa wanakisia kama wapiga ramli" Amesema Mhandisi Mustafa 


Aidha amefafanua kuwa, vifaa hivyo vya kisasa kwa sasa vipo  kwenye ofisi za TEMESA kwenye mikoa yote Tanzania nzima jambo ambalo limeboresha kwa kiasi kikubwa utendaji wa kazi katika kutoa huduma kwenye Taasisi za Umma na Serikali.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa