• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TENDENI HAKI

Posted on: November 24th, 2022

"Nendeni mkasimamie haki bila kupindisha sheria ili kuepusha kuumiza wasiostahili na kuwafurahisha wenye pesa zao".

Kauli hiyo imetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan alipokuwa akifungua mkutano wa 27 wa wanasheria wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Jijini Arusha.

Kupindishwa kwa sheria kumesababisha watu wengi kutotendewa haki na kufungwa kwa makosa ambayo siyo yao na wale waliotakiwa kuhukumiwa kuachwa huru.

Aidha,amewataka wanasheria hao kuangalia njia sahihi zitakazosaidia nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuweza kuingia katika ushirikiano zaidi na kuufanya umoja huo kuwa wenye tija na nguvu.

Amesisitiza zaidi, katika kubadilishana uzoefu kwa wanachama ili kujengeana uzoezi utakaosaidia kufanya kazi nzuri hata za nje ya jumuiya hiyo.

Nae,Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Geofrey Mizengo Pinda amewataka wanasheria wa Tanzania kujiunga kwa wingi katika chama cha wanasheria wa Afrika Mashariki ili waweze kupata nafasi ya kufahamika na kupata fursa za nje ya nchi zaidi.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amewataka wanasheria hao kutumia fursa hiyo ya Kikao kutembelea mbuga mbalimbali za wanyama ili wajionee wanayama waliopo katika Mbuga za nchi.

Mkutano huo wa wanasheria wa Afrika Mashariki umejumuisha nchi za Tanzania bara na visiwani,Kenya, Rwanda, Burundi, Uganda, DRC Congo na takribani wajumbe zaidi ya 100 wameweza kuhudhuria.










Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA 2 YA MAMA SAMIA AKIWA MADARAKANI

    March 19, 2023
  • BONANZA LA MIAKA MIWILI YA MAMA SAMIA

    March 18, 2023
  • UZINDUZI WA KITABU CHA MIAKA MIWILI YA DKT.SAMIA

    March 14, 2023
  • TUMERIDHISHWA NA MIRADI-KAMATI YA SIASA MKOA

    March 09, 2023
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa