• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TUMERIDHISHWA NA MIRADI-KAMATI YA SIASA MKOA

Posted on: March 9th, 2023

KAMATI YA SIASA MKOA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO YA  BILIONI 1.6  MERU.


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha Ndugu Zelothe Steven Zelothe amesema ameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwenye sekta ya afya na elimu katika Halmashauri ya Meru.

Zelothe ameyasema hayo wakati  kamati ya siasa Mkoa wa Arusha ikikagua utekelezaji wa ilani ya CCM  kwa Mwaka 2022/2023 kwenye miradi mbalimbali iliyotekelezwa na Serikali.

Zelothe amesema kupitia ziara hiyo kamati ya siasa imeona thamani ya fedha kwenye miradi hiyo.

Aidha,ameishauri halmashauri kuwashirikisha wananchi wakati wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Hali kadhalika, halmashauri imetakiwa kuhakikisha wanatatua changamoto za wananchi sambamba na utoaji wa taarifa za miradi ili kuwajengea uwelewa.

Nae, Katibu wa CCM Mkoa Musa Matoroka, amewataka wataalamu wa halmashauri kukagua miradi hiyo mara kwa mara ili kuongeza nguvu katika usimamizi.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru Mhe. Jeremia Kishili, amesema halmshauri hiyo itaendelea kuongeza ukusanyaji wa mapato ya ndani ili fedha zaidi zipatikane katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na wananchi waweze kupata wanachokihitaji.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongella amesema, serikali itaendelea kusimamia miradi yote ya maendeleo ili fedha zinazotolewa na serikali zipate thamani yake kwenye miradi hiyo na kuweza kusogeza huduma bora zaidi kwa wananchi.

Ziara ya Kamati ya siasa ya Mkoa imejikita katika ukaguzi wa miradi ya maendeleo kwa wananchi ili kuhakikisha ilani ya CCM imetekelezwa vizuri.

Halmshauri ya Meru imekusanya jumla ya fedha bilioni 3.7 kutoka kwenye mapato ya ndani na zaidi ya milioni 935 zilipelekwa katika miradi mbalimbali ya maendeleo huku bilioni 1.6 ni fedha zilizotolewa na serikali kuu kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya afya na elimu.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa