• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TUMIENI MAJI TAKA KATIKA SHUGHULI ZA UMWAGILIAJI- MAKAMU WA RAIS

Posted on: March 15th, 2022

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Filipo Isidory Mpango amemwagiza Waziri wa Maji Jumaa Aweso kukaa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Arusha(AUWSA) ili Mamlaka hiyo kujifunza Teknolojia ya Kisasa ya kutumia Maji taka katika umwagiliaji mashamba toka Nchi ya Israel.

Hayo ameyasema leo wakati akikagua Mradi wa kutibu Maji taka katika Jiji la Arusha ulio chini ya AUWSA kwa vile mradi huu ukitumika vizuri utakuwa na fursa kubwa ya kiuchumi kwa wakazi wa Kata ya Terrat kwa kutumia Kilimo cha Umwagiliaji na kuwataka kuuitunza mradi huo.

"Maji taka haya yakisafishwa vizuri yanauwezo wa kutumika tena kwajili ya shughuli za Kilimo cha Umwagiliaji,ufugaji samaki na upandwaji miti utakaosaidia katika miradi ya ufugaji nyuki" alisema Dkt Mpango.

Akitoa taarifa ya Mradi huo kwa Makamu wa Rais;Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji taka na Usafi wa Mazingira Mhandisi Justine Lujomba amesema Mradi huo wa ujenzi wa Mabwawa una thamani ya Bilioni 39.8 na una mabwawa 18 yakiyokamilika ikiwa ni sehemu ya Mradi mkubwa wa ujenzi na usambazaji maji Jiji la Arusha na viunga vyake wenye thamani ya shilingi bilioni 520.

Mhandisi Justine Lujomba amesema fedha hizo zimetoka kwa Serikali ya Tanzania na Benki ya Maendeleo ya Afrika(ADB) na kuwa mabwawa hayo yamesaidia kutibu maji taka takribani lita 22,000,000/= kwa siku ikilinganishwa na lita 3,500,000/= zilizokuwa zikichakatwa kwenye mabwawa ya awali.

Aidha,Mhandisi Lujomba amesema faida kubwa ya waliyoipata kutokana na uwepo wa mradi huo ni pamoja na kuongozeka kwa wateja waliunganishwa katika mtandao huo na kufanya Jiji kuwa katika Mazingira safi.

Makamu Rais yupo Mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi ya Siku moja ambapo pia alifungua Kongamano la Idhaa ya Kiswahili Duniani lililofanyika katika Kituo Cha Mikutano cha Kimataifa Arusha( AICC).


MWISHO



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa