• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

TUMIENI MICHEZO KUDUMISHA UMOJA WETU

Posted on: December 6th, 2021

"Tumieni  michezo kudumisha umoja wetu ili uwe imara zaidi na kuleta mshikamano".

Kauli hiyo imesemwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa, alipokuwa akifungua michezo ya mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Jijini Arusha.

Lengo la michezo hiyo ni kudumisha umoja, uhusiano wa nchi za Jumuiya hiyo.

Vile vile michezo hiyo inasaidia kujenga Afya na nichanzo cha ajira kwa vijana wengi, hivyo amewataka wabunge hao kwenda kuhamasisha michezo katika nchi zao.

Aidha, amewashauri wabunge hao kutumia fursa hiyo ya kukutana pamoja na kubadilishana mawazo ya namna ya kuimarisha umoja huo.

Spika wa bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki  Mhe. Mathias  Ngoga amesema michezo hiyo inaleta mshikamano baina ya wabunge huo na hata nchi zao.

Amewataka wabunge hao kupitia michezo hiyo waendeleze malengo yaliyowekwa na Jumuiya hiyo.

Akizungumza pia, Naibu spika wa bunge la Jumhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson, amesema kukutana kwa wabunge hao kuwe njia moja wapo ya kuweza kujadili changamoto za wananchi wao na namna ya kuzitatua.

Mhe. Sarah Opendi mbunge kutoka bunge la Uganda akimwakilisha Naibu spika wa bunge hilo amesisitiza kupitia michezo hiyo wabunge wote wapaze sauti zao kupiga vita ukatili wa wanawake na watoto katika nchi zao.

Michezo hiyo ya mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yamejumuisha watu zaidi ya 1500 kutoka katika nchi ya Tanzania bara na visiwani, Kenya, Uganda na Burundi na mashindano hayo yanatarajiwa kufanyika Jijini Arusha kwa wiki 2.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA MIAKA 2 YA MAMA SAMIA AKIWA MADARAKANI

    March 19, 2023
  • BONANZA LA MIAKA MIWILI YA MAMA SAMIA

    March 18, 2023
  • UZINDUZI WA KITABU CHA MIAKA MIWILI YA DKT.SAMIA

    March 14, 2023
  • TUMERIDHISHWA NA MIRADI-KAMATI YA SIASA MKOA

    March 09, 2023
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa