• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

"TUTAENDELEA KUENZI MAZURI YA HAYATI LOWASSA"- RC MAKONDA....

Posted on: May 27th, 2024

Na Elinipa Lupembe

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amewaahidi wakazi wa Monduli kwamba Serikali ya Mkoa itahakikisha inatimiza maono ya Waziri Mkuu mstaafu Hayati Edward Ngoyai Lowassa aliyefariki dunia Februari 10, 2024 wakati akipatiwa matibabu kwenye Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete.

Mkuu wa Mkoa Mhe. Paul Christian Makonda ametoa ahadi hiyo mapema leo Mei 27, 2024 wakati alipofika Kijijini Monduli, nyumbani kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa na kuzuru kaburi lake kumuombea kheri na pumziko jema wakati akiendelea na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo wilayani humo.

Mhe. Paul Christian Makonda ameiombea familia ya Waziri Mkuu huyo kuwa Mwenyenzi Mungu aendelee kuwapa subira, uvumilivu na kuwajalia mwanzo mpya wa maisha bila ya Mzee Lowassa, akimtaja kama kiongozi aliyeacha alama nyingi kwa wana Arusha na Watanzania wote kwa Ujumla.

Mhe. Paul Christian Makonda amemtaja Hayati Edward Ngoyai Lowassa kama kiongozi mwenye uthubutu na uchapakazi wa hali ya juu kwenye nafasi zake mbalimbali alizowahi kuzitumikia, akiwa pia kiongozi mwenye kusimamia alichokiamini mara zote katika kipindi cha uhai wake.

"Uthubutu wake ukawe alama na kumbukumbu ya kutosha katika kuwapigania wananchi hasa wanyonge bila kujali gharama inayoweza kutokea katika mapambano ya kudai haki", ameongeza Mhe. Paul Makonda.

Enzi za uhai wake Hayati Edward Ngoyai Lowassa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kati ya Mwaka 2005-2008, anakumbukwa na Watanzania wengi katika maono yake ya kukuza elimu kwa watoto wa maskini ili kupambana na umaskini, haki ya maji safi na salama kwa watanzania wote pamoja na kukuza demokrasia nchini Tanzania.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa