• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA: UFUNGUZI TAWI LA CRDB NAMANGA UTACHOCHEA BIASHARA NA UCHUMI WA WANANCHI WA MPAKANI ..

Posted on: September 26th, 2025



. Aipongeza CRDB kwa kufikisha Miaka 30 ya kuwahudumia Watanzania katika maeneo mengi ikiwemo Namanga


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla leo Ijumaa Septemba 26, 2025 amezindua Tawi la Benki ya CRDB, Namanga Wilayani Longido, akisema tawi hilo litakuwa kiunganishi muhimu cha biashara za mpakani, kukuza biashara pamoja na kuimarisha uchumi wa Kikanda suala ambalo litaifanya Namanga kuendelea kuwa kitovu cha biashara, Kilimo na uwekezaji.


"Serikali pia imeendelea kuwekeza katika miundombinu ya TEHAMA ikiwemo kuimarisha Mkongo wa Taifa wa mawasiliano na kuweka mazingira rafiki ya ubunifu kama vile huduma za kibenki za kidijitali, huduma za fedha kupitia simu, huduma za kibenki mtandaoni na pia huduma za uwekezaji kama kijani bond, Samia infrastructure bond na SUKUK ambazo benki ya CRDB imeongoza katika kuanzishwa kwake." Amekaririwa akisema CPA Makalla.


Amesema huduma hizo za kifedha ni kichocheo muhimu cha ustawi wa wananchi na maendeleo ya Taifa, ikisaidia kuwezesha wananchi kuweka akiba kwa njia salama, kupata mikopo ya kuendeleza biashara na shughuli zao nyingine za kiuchumi na kushiriki kujenga uchumi na kupunguza umaskini, akiwataka kuunganisha huduma zao na sekta ya utalii kwa kupeleka huduma kwenye maeneo yenye kutembelewa zaidi na watalii na wageni wanaofika Mkoani Arusha.


Akitoa maelezo ya Benki hiyo kwa Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi wa Wateja wadogo na wa Kati Bw. Bonaventura Paul amesema Benki hiyo itaendelea kuwa Mshirika wa Kimkakati wa maendeleo ya Mkoa wa Arusha ambapo kufunguliwa kwa tawi la Namanga kunaifanya benki hiyo kuwa na Jumla ya matawi 14 miongoni mwa matawi 268 nchi nzima, wakiwa na mawakala 1801 kwenye Mkoa wa Arusha, 120 kati yake wakiwa Wilaya ya Longido.


Kwa upande wake Meneja wa Benki hiyo Kanda ya Kaskazini Bw. Cosmas Saddat amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuweka mazingira bora ya ufanyaji wa biashara kwa Taasisi za kifedha nchini pamoja na ushirikiano mkubwa wanaoupata serikalini, akiwahakikishia wananchi wa Namanga na Wilaya ya Longido kuwa kwasasa huduma za Benki hiyo zinapatikana kwa asilimia




Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA: UFUNGUZI TAWI LA CRDB NAMANGA UTACHOCHEA BIASHARA NA UCHUMI WA WANANCHI WA MPAKANI ..

    September 26, 2025
  • RC MAKALLA ATAKA MPANGO MKAKATI WA UTALII UKIJUMUISHA FURSA NA MAANDALIZI YA AFCON 2027...

    September 25, 2025
  • WANANCHI WALIOLALAMIKIA MGAO WA MAJI WAFURAHIA UJENZI WA TENKI JIPYA LA MAJI...

    September 24, 2025
  • RC MAKALLA: ARUSHA ITAENDELEA KUWA NA AMANI SASA NA HATA  BAADA YA UCHAGUZI...

    September 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa