• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

UJENZI WA SHULE MPYA YA MSINGI NAFCO

Posted on: January 17th, 2024


.

Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Missaile Albano Musa, ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa shule mpya ya msingi Nafco, kata ya Olmot, halmashauri ya Jiji la Arusha.

Akiwasilisha taarifa ya mradi huo, mwalimu msimamizi wa mradi huo, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mirongoine, Mwl. Edna Nasoro Makala, amesema kuwa, mradi huo  unatelezwa kwa gharama ya shilingi milioni 400 fedha kutoka Serikali Kuu.

Ameongeza kuwa, mradi huo utahusisha ujenzi wa jengo la ghorofa tatu, ambapo awamu ya kwanza utakamilisha ujenzi wa sakafu ya kwanza ukiwa na vyumba vinne vya madarasa na matundu 11 ya vyoo.

Hata hivyo, Diwani wa kata ya Olmot Mhe. Raphael Mathayo Lomwiko, licha ya kuishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kutoa fedha za ujenzi wa shule hiyo mpya, amesema kuwa watoto wa mtaa huo wanapata shida sana kutokana na eneo hilo kitokuwa na shule karibu ambapo hulazimika kutembea takribani Km 8 kufuata shule ya msingi Miroingoine.

"Kutokana na Jiografia ya kata hii, miaka ya nyuma eneo hili lilikuwa na mashamba yaliyomilikiwa na kampuni ya NFCO, hivyo hakukuwa na shule karibu, kwa sasa yameanza kuwa makazi ya watu, hivyo kuna uhitaji mkubwa wa shule kwa ajili ya watoto wa eneo hili" Ameweka wazi Mhe. Diwani.

Ameongeza kuwa, uwepo wa shule hapa utapunguza msongamano wa wanafunzi kwenye shule ya msingi Mirongoine lakini zaidi itapunguza utoro kwa wanafunzi wanaoshindwa kuhudhuria masomo kwa siku zote kutokana na umbali sambamba na mdondoko wa wanafunzi shuleni.






Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa