• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

UONGOZI THABITI CHINI YA RAIS SAMIA WAZAA MATUNDA SEKTA YA AFYA

Posted on: April 25th, 2025

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko, amepongeza jitihada za Serikali katika kuboresha sekta ya afya nchini, akisisitiza kuwa mafanikio yanayoonekana sasa ni matokeo ya uongozi thabiti chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. 



Dkt. Biteko ameyasema hayo leo tarehe 25 Aprili 2025, alipotembelea na kukagua mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya Hospitali ya Wilaya ya Meru, mkoani Arusha ikiwa ni sehemu ya ziara yake mkoani huo kuelekea miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar



Katika ziara hiyo, Dkt. Biteko ameridhishwa na utekelezaji wa mradi huo na kupongeza namna fedha za umma zilivyotumika kwa ufanisi, huku akisisitiza kuwa huduma bora kama hizo ni matokeo ya mipango madhubuti ya Serikali ya awamu ya sita.



“Huduma bora namna hii siyo bahati mbaya, ni matokeo ya uongozi makini na maono ya mbali ya Rais Samia. Hapa tumeona ubora ukizingatiwa sambamba na thamani ya fedha zilizotumika”. Amesema.



Hata hivyo amesisitiza umuhimu wa kuilinda na kuitunza miundombinu hiyo ili iweze kuwanufaisha Watanzania kwa muda mrefu na kutoa wito kwa wananchi kudumisha mshikamano wa kitaifa kuelekea maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, aliouasisi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.



Aidha, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, amesema kuwa Serikali ya Mkoa imeandaa mkakati wa kuimarisha huduma za afya kwa kuanzisha ushirikiano na madaktari bingwa wa magonjwa maalum kutoka ndani na nje ya nchi kama vile Hispania.



“Tunalenga kuwa na hospitali moja maalum ya rufaa itakayoshirikiana na madaktari bingwa wa muda mrefu kutoka nje, ili kutoa huduma bora kwa wananchi wetu hasa wale wa kipato cha chini, na pia kuwa kituo cha huduma za afya kwa wageni kutoka mataifa mengine.” Amesema Mhe. Makonda.



Awali, mradi huo umetekelezwa kwa 'force account' kwa gharama ya shilingi milioni 900 zilizotolewa na Serikali Kuu, na hadi sasa umekamilika kwa asilimia 100, hivyo kuongeza uwezo wa hospitali kutoa huduma bora kwa wananchi.


Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa