• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

Utalii wa Utamaduni ni Utambulisho Tosha wa Nchi.

Posted on: March 12th, 2018

Waziri wa habari, utamaduni,sanaa na michezo Dokta Harrison Mwakyembe amewataka wajasiliamali wa vinyago kutafuta zaidi soko la bidhaa zao za asili ili kukuza kipato na kuendelea kutangaza utalii wa utamaduni.

Ameyasema hayo alipokuwa akuzunguza na wajasilimali wautalii wa utamaduni katika soko la Masai,jiji Arusha.Amesema bidhaa za utalii wa utamaduni ni nembo tosha yakutangaza nchi yetu.

“Ni kweli kuna Changamoto katika ujasiliamali huu wa utalii wa utamaduni hususani kwenye tozo mbalimbali mnazotozwa na mamlaka husua.”

Serikali ipo tayari kwenye mchakato wakutatua Changamoto hii ya tozo na kuona ni namna gani soko la vinyago nchini Tanzania linakuwa na kujulikana zaidi kimataifa, kuliko kwa sasa soko kuu linajulikana lipo jijini Nairobi wakati wazalishaji wakubwa ni  watanzania.

Dokta Mwakyembe alikuwa kwenye ziara ya siku 3 Mkoani Arusha,ambapo ameweza kufungua redio mpya ya kijamii (TBC FM),aliweza kutembelea kituo cha redio cha Sunrise,alifungua mkutano wa maafisa habari na mawasilino serikali,ameweza kukutana na wadau wa utamaduni,sanaa na michezo na ameweza kutembelea soko la vinyago la jijini Arusha.

Tangazo

  • MACHAGUZI YA WANAFUNZI KIDATO CHA TANO May 17, 2022
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAFANYENI KAZI KWA UMAKINI- RC MONGELLA

    August 11, 2022
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO WA 44 WA CAF

    August 10, 2022
  • FEDHA ZA LISHE ZIKAFANYE KAZI ZA LISHE TU- RC MONGELLA

    August 10, 2022
  • RC MAKONGOLO AFUNGA MAONESHO YA 88 KANDA KASKAZINI

    August 08, 2022
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa