• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

UTEUZI WA KAIMU MKURUGENZI WA JIJI LA ARUSHA

Posted on: May 26th, 2022

Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Dkt. Athumani Kihamia amemteuwa Katibu Tawala msaidizi Uchumi na Uzalishaji Mali bwana Hargeney  Reginald Chitukuro kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kwa muda hadi apo Serikali itakapotoa utaratibu mwingine.

Katika kikao maalumu cha kumtambulisha Kaimu Mkurugenzi huyo Dkt.Kihamia amewataka wakuu wa idara Jiji la Arusha kushirikiana nae katika kutekeleza majukumu yake.

Pia,amewataka watumishi wa Jiji la Arusha kufanya kazi kwa ushirikiano na wasikubali kupelekeshwa katika kutekeleza majukumu yao.

Dkt.Kihamia amesisitiza makabidhiano ya ofisi ya Mkurugenzi yafanyike mapema iwezekanavyo ili majukumu mengine yaendelee katika ofisi hiyo.

Ofisi ya Rais TAMISEMI ilikasimisha madarasa hayo kwa Katibu Tawala Mkoa ya kumteuwa atakae Kaimu nafasi hiyo kwa muda.

Nae, Kaimu Mkurugenzi wa Jiji hilo Bwana Hargeney Chitukuro amesisitiza kuwa na ushirikiano kutoka ngazi za Mkoa, Wilaya na Halmashauri.

Amesema, jukumu la kutekeleza majukumu yaliyopo nikufuata sheria na taratibu zilizopo ili kukuza ufanisi zaidi.

Mastahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Maximilian Iranghe amemuaidi Kaimu Mkurugenzi huyo ushirikiano katika kutekeleza majukumu yake na kuleta maendeleo katika Jiji hilo.

Hatua ya kumteuwa Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha imefikiwa baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji hilo Dkt. John Pima kusimamishwa kazi na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa kwa tuhuma za ubadhilifu na amatumizi mabaya ya fedha za Serikali.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MONGELLA AWATAKA WAKANDARASI WA UMEME KUWASILISHA MIPANGO KAZI YAO.

    January 28, 2023
  • KUMBUKIZI YA SIKU YAKUZALIWA MHE.DKT.SAMIA SULUHU HASSAN

    January 27, 2023
  • MAFANIKIO SEKTA YA ELIMU ARUSHA YAWA KIVUTIO KWA MAAFISA ELIMU KAGERA

    December 29, 2022
  • MPANGO WA m- mama WAZINDULIWA

    December 19, 2022
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa