• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

VIONGOZI WANATAKIWA KUWA NA KAULI MOJA

Posted on: June 10th, 2021

Balaza linatakiwa kuwa na Umoja, Mshikamano na kauli moja katika maamuzi ya kuleta maendeleo kwa wananchi

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella alipokuwa akizungumza kwenye kikao cha kujadili hoja za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali cha Jiji la Arusha.

Amesema kuwa na kauli moja kwa viongozi kunasaidia sana kuepusha migogoro, inaleta maendeleo na amani kwa wananchi.

Aidha, amesema mabalaza yanatakiwa kuwa ya wazi na kweli ili kutatua changamoto kwa haraka.

Pia,amewataka madiwani hao kufanya kazi kwa uwadilifu, uzalendo na wawe wachapa kazi kwani Jiji la Arusha ndio kioo cha Mkoa mzima.

Nae, Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Dkt. Athman Kihamia amesema ofisi ya Mkoa itashirikiana kwa ukaribu na Jiji la Arusha ili kuleta maendeleo kwa pamoja.

Dkt. Kihamia ameitaka ofisi inayofunga mahesabu kushirikiana na ofisi ya mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za Serikali ili kuepusha makosa madogo madogo ambayo yamejitokeza kwa mwaka wa fedha 2019/2020.

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Kenan Kihongosi amewataka watumishi hao kufanya kazi kwa kufuata Sheria na miongozo ya serikali ili kuondoa migongano.

Pia, amemtaka Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kuendelea kukusanya mapato zaidi ili fedha hizo zikatumike katika kuleta maendeleo ya Jiji hilo.

Viongozi hao walihudhuria kikao hicho cha kujadili hoja za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali cha Jiji la Arusha.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa