• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAANDISHI WA HABARI WANOLEWA KUHUSU MFUMO WA m – mama..

Posted on: October 30th, 2024

WAANDISHI WA HABARI WANOLEWA KUHUSU MFUMO WA m – mama

Waratbu wa Mfumo wa dharura wa usafirishaji kwa kina mama wajawazito na watoto wachangaa (m-mama) Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro wametoa mafunzo kwa waandishi wa habari wa Mikoa hiyo ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali za kuhakikisha Umma unapata elimu sahihi kuhusu matumizi sahihi ya mfumo huo unaolenga kunusuru vifo vitokanavyo na uzazi na kuipeleka kwa wananchi.


Mafunzo hayo yaliyofanyika mapema leo kwenye ukumbi wa Hotel ya New Safari iliyopo Mkoani Arusha, yalikuwa na lengo la kuwapatia waandishi wa habari wa redio za kijamii zilizo ndani ya Mikoa hiyo uelewa wa kina kuhusu mfumo huo wa dharura ulioanzishwa kwa ajili ya kusafirisha salama mama mjamzito na mtoto wakati inapotokea dharura.

Akifungua mafunzo hayo, kaiumu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha Omary Chande amesema kuwa Serikali inatambua mchango wa Waandishi wa Habari katika kufikisha elimu sahihi kwa wananchi hivyo kupitia wao, elimu ya mfumo huo wa m-mama itawafikia wananchi kwa ufasaha.


“Ninawaomba mzingatie mafunzo haya ili mpate kuelewa nini kinapaswa kupelekwa kwa wananchi ili kuisaidia jitihada za Serikali za kupunguza au kumaliza kabisa vifo vya kina mama na watoto”. Amesisitza.


Kwa upende wake Muuguzi Mkuu na Mratibu wa Mfumo huo Mkoa wa Arusha, Getrude Anderson,amesema kuwa, mfumo huo umetengenezwa kuwa endelevu na nafuu kwa wananchi kupata fursa ya kupiga namba ya simu 115 bure ili kupata msaada wa haraka huku rufaa zaidi ya 90,000 zikiwa zimesafirishwa na zaidi vituo vya afya 7,600 vilichanganuliwa, sambamba na Serikali kuanzisha dawati la msaada mtandaoni kwa Mikoa ili kuripoti matatizo yoyote kuhusu m-mama.


Hata hivyo, waandishi hao wameipongeza Serikali kuendelea kuweka jitihada zaidi za kuhakikisha vifo vitokanavyo na uzazi vinapungua huku wakiahidi kuendelea kuunga mkono jitihada hizo kwa kutengeza vipndi mbalimbali vya kuelimisha umma kuhusu Mfumo huo.


Awali, Mfumo huo ulizinduliwa rasmi kwa awamu III ukijumuisha mikoa yote nchini huku awamu ya kwanza ikiwa mkoa wa Shinyanga na awamu ya pili Mikoa ya Mara, Arusha, Singida, Katavi, Iringa na Mtwara.




Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA BARABARA YA ESO - LONGDON NA UKUMBI WA MIKUTANO ARUSHA.

    April 03, 2025
  • RC MAKONDA ATAKA KUPEWA MAJINA YA WATENDAJI WANAOCHOCHEA MIGOGORO YA KIJAMII.

    March 28, 2025
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA NI MAONO NA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA- WAZIRI NDUMBARO.

    March 28, 2025
  • OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAFANYIA KAZI MALALAMIKO WANANCHI WA MIANZINI ARUSHA.

    March 28, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa