• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAFAMASIA ZAIDI YA 26 WAPATIWA MAFUNZO

Posted on: June 28th, 2022

Zaidi ya Wafamasia 28 toka Mikoa 6 ya Tanzania Bara wanapatiwa Mafunzo Maalum kuhusu Mifumo ya Ufuatiliaji wa Usalama wa Dawa,Vifaa Tiba pamoja na Chanjo yanayofanyika Jiji Arusha.

Akizungumza katika ufunguzi wa Warsha hiyo,Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Dkt Athumani Kihamia ambaye alikuwa Mgeni rasmi amesema kuwa Mafunzo hayo ya Siku mbili ni muhimu sana kwa Kada ya Wafamasia Nchini Tanzania kwani yatawajengea uwezo wa kukabiliana na athari hasi zinatokea katika matumizi ya dawa,Chanjo na Vifaa tiba vinavyotolewa kwa Wagonjwa hii itasaidia Wanajamii kupata taarifa sahihi ili kuepusha sintofahamu kutokana na madhara.

"Ni seme tu pamoja na faida tunazopata za kimatibabu kupitia dawa,vifaa tiba pamoja na chanjo mara chache kumekuwa kukitokea madhara kwa watumiaji,hivyo kupitia mafunzo haya nitoe rai kwa Wafamasia kutoa taarifa sahihi za usalama  wake kwa Jamii ili kuzuia athari kwa Wagonjwa wengine." Alisema Dkt.Kihamia.

Sambamba na hilo,Dkt.Kihamia amewataka Wakufunzi na Wafamasia hao kutumia njia shirikishi katika Mafunzo hayo ili kuleta uelewa wa pamoja kwa kutumia uzoefu kutoka maeneo yao ya kazi kuhusu hali ya usalama wa dawa vifaa tiba pamoja na chanjo kwa lengo kuisaidia Serikali katika kukabiliana na changamoto za athari hasi za matumizi ya dawa hizo ili kulipungumzia Taifa mzigo kwa kupeleka Wagonjwa nje ya Nchi kwa matibabu baada ya kupata athari kutoka na matumizi ya dawa,vifaa tiba pamoja na chanjo.

Mafunzo hayo ya Siku mbili yanafanyika Chuo cha CEDHA Arusha kwa kujumuisha Wafamasia wa Mikoa ya Arusha, Manyara,Kilimanjaro, Tanga,Dodoma na Singida.

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2022 January 29, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MONGELLA AWATAKA WAKANDARASI WA UMEME KUWASILISHA MIPANGO KAZI YAO.

    January 28, 2023
  • KUMBUKIZI YA SIKU YAKUZALIWA MHE.DKT.SAMIA SULUHU HASSAN

    January 27, 2023
  • MAFANIKIO SEKTA YA ELIMU ARUSHA YAWA KIVUTIO KWA MAAFISA ELIMU KAGERA

    December 29, 2022
  • MPANGO WA m- mama WAZINDULIWA

    December 19, 2022
  • Angalia Zote

Video

THE ROYAL TOUR
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa