• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAKAZI WA ARUSHA WATAKIWA KUUNGA MKONO SHUGHULI ZA WAWEKEZAJI

Posted on: February 13th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amewataka wananchi Mkoani Arusha kuunga mkono, juhudi za wawekezaji wanaowekeza kwenye Mkoa huo, ili kukuza pato la mtu mmoja mmjoja la mkoa na kukuzauchumi wa Taifa, unakwenda kutatua changamoto ya upatikanaji wa ajira kwa vijana.


Mhe. Mongella amesema hayo wakati wa ufunguzi wa mgahawa wa KFC tawi la Arusha, Hafla iliyofanyika kwenye ofisi za Mgahawa huo eneo la Clock Tower, Jijiji Arusha.


Amesema kuwa, wakaz wa Arusha wanatakiwa kufahamu kuwa, uwekezaji wowote nchini  ni nguzo kubwa ya kuinua uchumi na kuboresha ukuaji wa teknolojia, kwa kuwa wawekezaji wanapowekeza wanaibua Teknolojia Mpya, ambazo zinawawezesha vijana wengi kujikwamua kiuchumi.


“Niwapongeze sana KFC kwa kuanzisha huduma hii muhimu kwenye mkoa wetu, kwa kuzingatia pia huu ni Mkoa wa kitalii hivyo watalii na wananchi wengi watavutiwa kupata huduma ya uhakika na kutoa ajira kwa Watanzania, sisi kama Mkoa tunaahidi kuwapa ushirikiano Mkubwa katika jambo lolote mtakalohitaji”. Amesema mhe. Mongella.


Ameongeza kuwa, uwekezaji huo umetokana na uwepo wa mazingira mazuri yaliyoboreshwa kulitia Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu hassana kwani huduma hiyo itawezesha uchangiaji wa pato la taifa na Jamii kwa ujumla kwa kulipa kodi ya Serikali 


Akimzungumzia uamuzi wa kufungua tawi la KFC Jijini hapa, Mkurugenzi Mtendaji wa Dough Works,Vikram Desai amesema hiyo ni hatua muhimu kwa Tanzania kuwafikishia wananchi huduma bora ya chakula lakini pia inachagia ajira kwa watanzania.


"Kuwepo kwa KFC Arusha kutawapatia wananchi huduma bora za chakula chenye hadhi ya kimataifa kwani mgahawa huu upo zaidi ya nchi 140 hivyo watalii wakifika Arusha watakutana na mgahawa huo na kufurahi Zaidi." Amesema.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa kampuni ya Oryx Energies Tanzania, Kalpesh Mehta amesema kampuni hivyo imejipanga kuhakikisha Tanzania inashirikiana na kampuni ya Dough Works Tanzania katika kuhakikisha huduna ya KFC inatolewa kwa ufanisi ambapo Meneja masoko wa KFC alitoa ombi kwa wakazi wa Arusha kutumia vyakula vya KFC vinavyouzwa kwenye migahawa huyo iliyopo nchini.



Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa