• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAKURUGENZI HALMASHAURI ZA MKOA WA ARUSHA; WATAKIWA KUWAWEZESHA WATALAM KUWAFIKIA WAMACHINGA..

Posted on: September 4th, 2025

Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri zote saba  za Mkoa wa Arusha, wametakiwa kuwawezesha watalamu wa wa Sekta za Maendeleo ya Jamii, Biashara na TEHAMA ili waweze kuwafikia wafanyabiashara  na wamachinga kwa kuwapa elimu ya mikopo isyokuwa na riba na kuepukana na mikopo ya kaushadamu.

Rai hiyo imetolewa na Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Misaile Albano Mussa wakati akifungua Tamasha la wafanyabiashara ndogondogo Machinga mkoa huo, kongamano lenye lililowaunganisha wanyabiashara hao kwa lengo la kumshukuru Mhe.Raisi Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kulitambua kundi hilo na kuanza kuliwezesha kupitia mikopo yenye riba nafuu.

Amesema kuwa, watalamu hao wakiwezeshwa na kuwa na mkakati thabiti wa kutoa elimu kwa Wamachinga itafikia malengo ya kuwatambua na kuwaunganisha na fursa mbalimbali za kiuchumi, ikiwemo kuwa na sifa za kupata mikopo yenye riba nafuu na kuondokana na mikopo inayowaumiza wafanyabiashara hao na wengine kupoteza malengo yao ya kujikwamua kiuchumi.

"Nitoe wito kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote kuhakikisha wanafikia lengo la Serikali la kuwawezesha wamachinga kupata elimu ili kuwajengea uwezo na uelewa juu ya mikopo na uendeshaji wa biashara zao, jambo ambalo litaongeza kasi ya ukauji wa uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwani mpaka sasa jumla ya  wafanya biashara 224 waliochukua mkopo, ambao ni wachache kulinganisha na fedha  zimetengwa, hivyo inahitajika nguvu ya ziada kuongeza idadi ya Wamachinga hao".Amesema Missaile.

Hata hivyo Wamachinga hao wamempongeza na kumshukuru Mhe.Rais kwa juhudi kubwa alizozifanya za kulitambua na kuliainisha kundi hilo bila kujali utofauti wa biashara zao, na kuwaunganisha na fursa za kibiashara sambana na kuwapatia mikopo yenye riba nafuu ambapo Serikali ya Dkt.Samia imetoa kiasi cha shilingi Bilioni 18.5 kwa Machinga nchi nzima huku Machinga wa mkoa wa Arusha ukipatwa wakipatiwa shilingi Million 501 kwa wamachinga na wafanya biashara wadogowadogo.

@arusha_district_council
@merudistrictcouncil2 @halmashauri_ya_karatu @longido.district_council @ngorongoro_dc @monduli_dc @ikulu_mawasiliano @ortamisemi

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO MTIHANI WA UTAMIRIFU (MOCK) 2025 DARASA LA SABA (VII)- MKOA WA ARUSHA June 07, 2025
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKALLA AUNDA TUME KUFUATILIA SAKATA LA MACHINJIO NGORBOB ARUMERU..

    September 09, 2025
  • WAMAREKANI WATALII KWA WINGI TANZANIA- KAIMU BALOZI MAREKANI TANZANIA..

    September 11, 2025
  • RAIS SAMIA KUZIUNGANISHA MONDULI NA NGORONGORO KWA BARABARA YA LAMI..

    September 10, 2025
  • KILA LA KHERI DARASA LA SABA 2025..

    September 10, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa