• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Arusha Regional

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Mkoa
      • Chimbuko/Asili ya eneo
      • Orodha ya wakuu wa Mikoa
    • Dira na dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji Mali
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Arusha
      • Historia
      • Viongozi
    • Arumeru
      • Historia
      • Viongozi
    • Monduli
      • Historia
      • Viongozi
    • Karatu
      • Historia
      • Viongozi
    • Longido
      • Historia
      • Viongozi
    • Ngorongoro
      • Historia
      • Viongozi
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Arusha
    • Halmashauri ya Arusha
    • Halmashauri ya Meru
    • Halmashauri ya Monduli
    • Halmashauri ya Karatu
    • Halmashauri ya Longido
    • Halmashauri ya Ngorongoro
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Ardhi
    • Utalii
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali
    • Habari
    • Matukio

WAKURUGENZI WATAKIWA KUJIRIDHISHA KABLA YA KUONGEZA FEDHA ZA KUTEKELEZA MIRADI ....

Posted on: November 11th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John V.K.Mongella amekagua mradi wa Kituo cha Afya Samunge wilaya ya Ngorongoro na kuuagiza uongozi wa wilaya na halmashauri, kufanya uchunguzi wa kina, kabla ya kutoa fedha zinazoombwa kwa ajili ya ukamilishaji wa miradi ambayo tayari serikali imetoa fedha za kuitekeleza.


Mhe. Mongella ametoa agizo hilo, mara baada ya kusomewa taarifa inayohitaji ongezeko la fedha za ukamilishaji wa baadhi ya majengo ya kituo hicho cha afya, huku tayari Serikali Kuu, ilishatoa fedha za ujenzi, zikiwa na maelekezo ya kukamilisha ujenzi wa majengo.


"Wakuu wa wilaya na wakurugenzi msikubali kuongeza fedha zinazoombwa na wasimamizi wa miradi, kabla ya kuzito, fanyeni uchunguzi wa kina ili kujiridhisha endapo kiasi cha fedha kinachoombwa ni sahihi ama la, pamoja na kufahamu sababu za kutokukamilisha mradi wakati tayari serikali ilikwisha kutoa fedha zikiwa na maelekezo ya kukamilisha mrafi" Amesema Mhe. Mongella.


Aidha ameendelea kukemea tabia ya baadhi ya halmashauri kushindwa kukamilisha miradi kwa fehda zilizoletwa na Serikali Kuu, na kuongeza fedha kupitia mapato ya ndani na kuwataka wakuruge zi kuacha mara moja tabia hiyo kwa kusisitiza kuwa kila fedha inakuja na maelekezo ya kukamilisha mradi kwa halmashauriz ote nchini huku akihoji kwanini wengene wakamilishe kwa kiasi hicho cha fedha na wengine wasikamilishe,


Awali serikali ilitoa fedha kiasi cha shilingi milioni 400 kwa ajili ya kupanua zahanati hiyo ya Sambunge na kuwa kituo cha afya na tayari kimeanza kutoa huduma za kulaza kwa wanawake wajawazitona kuongeza kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba.


#tutakufikiapopoteulipoArusha

#KaziInaendelea

Tangazo

  • TAZAMA MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA DARASA LA SABA 1 July 06, 2023
  • MATOKEO YA MOCK MKOA DARASA LA SABA 2 July 07, 2023
  • TAZAMA MATOKEO YA MOCK MKOA KIDATO CHA NNE July 07, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RC MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA 33 WA WAKUU WA MAJESHI YA ULINZI (SADC).

    May 30, 2025
  • SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP KUREJEA MSIMU WA PILI JULAI 12, 2025

    May 27, 2025
  • MKOA WA ARUSHA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO MKUBWA WA WAKUU WA MAJESHI WA SADC

    May 25, 2025
  • UJENZI WA UWANJA WA AFCON ARUSHA SIO MICHEZO TU, NI FURSA YA KIUCHUMI

    May 24, 2025
  • Angalia Zote

Video

UZINDUZI WA BARABARA YA WASO-SALE
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • SALARY SLIP
  • Taarifa ya Mapato
  • Taarifa za Shule (SIS)
  • Takwimu za Sekta ya Elimu (BEMIS)
  • Video

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Portal ya Watumishi
  • Takwimu
  • TANAPA

Watembeleaji

world map hits counter

Wasiliana Nasi

Mawaliliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani
    • Maswali ya Mara kwa Mara

Hatimiliki ©2018 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha. Haki Zote Zimehifadhiwa